Car4Sale Toyota IST namba D inauzwa kwa 9milion. Ipo kwenye hali nzuri

naiona tokea January kwa madali tofauti tofauti nilijua ishachukuliwa kumbe bado ipo?
Nakucheki tufanye biashara 🙂
 
Be free Man, Ongea unachotaka kuongea.
Ok,
Nimeangalia muda iliyoingia nchini (DEJ),
Nikaangalia kwenye matairi (Wheel Cap v/s Sport Rim)
Nadiriki kusema kua haikupaswa kuuzwa hiyo bei,
Wajua Tshs 9mil ukiongeza hata 1mil unaagiza IST kutoka Japan na kodi unalipia hapo
 
Ok,
Nimeangalia muda iliyoingia nchini (DEJ),
Nikaangalia kwenye matairi (Wheel Cap v/s Sport Rim)
Nadiriki kusema kua haikupaswa kuuzwa hiyo bei,
Wajua Tshs 9mil ukiongeza hata 1mil unaagiza Gari kutoka Japan na kodi unalipia hapo
Mbona ukiwa na 8 unapata gari mzee. Unaagaiza lakini sio IST
 

CIF= $2400 x Tshs 2,260 = Tshs 5,424,000/= (Without Bargain)
Total TRA Taxes = Tshs 4,461,400/=
Other Port Charges = Tshs 600,000= (Estimates)
Clearing Agency Tshs 400,000/=

TOTAL 10.89Mil
 
Ok,
Nimeangalia muda iliyoingia nchini (DEJ),
Nikaangalia kwenye matairi (Wheel Cap v/s Sport Rim)
Nadiriki kusema kua haikupaswa kuuzwa hiyo bei,
Wajua Tshs 9mil ukiongeza hata 1mil unaagiza IST kutoka Japan na kodi unalipia hapo
DEG....... next time kua makini unapokosoa biashara za watu
 
View attachment 693651 View attachment 693654
CIF= $2400 x Tshs 2,260 = Tshs 5,424,000/= (Without Bargain)
Total TRA Taxes = Tshs 4,461,400/=
Other Port Charges = Tshs 600,000= (Estimates)
Clearing Agency Tshs 400,000/=

TOTAL 10.89Mil
Swali nje ya mada...

Hapo beforward si umelipia na clearing kwenye CIF? Unalipa tena clearing agency Dar?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…