Car4Sale Toyota IST namba D inauzwa kwa 9milion. Ipo kwenye hali nzuri

Car4Sale Toyota IST namba D inauzwa kwa 9milion. Ipo kwenye hali nzuri

Ye mwenyewe ameniruhusu Mkuu.
Wajua wapo watu kwa tofauti isiyozidi 2mil bora waagizie tu Nje kuliko kuchukua lililotumika hapa nchini. Hili gari limeingia kama Miaka miwili hivi iliyopita.
Hiyo unayosema 10m ni ya 2003 na hii ni ya 2004 we jamaa bana [emoji23][emoji23]
 
Swali nje ya mada...

Hapo beforward si umelipia na clearing kwenye CIF? Unalipa tena clearing agency Dar?
Tena nilisahau hiki kitu Mkuu, thanks,
Means bei zinashuka zaidi,
Nilidhani ni menu ya awali ambako hawakua na hii option ya wao kua clearing agent, kumbe wameweka now
 
Back
Top Bottom