Dialogist
JF-Expert Member
- Apr 14, 2014
- 1,167
- 1,872
Mbona broo hua nakuona kama una akili sana... sasa imekuaje kwa hii mada akili zimekutoka tena, aseee...Mdogo wako anakuzidi akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona broo hua nakuona kama una akili sana... sasa imekuaje kwa hii mada akili zimekutoka tena, aseee...Mdogo wako anakuzidi akili.
SidhaniHapana,
Mimi nimemwelewa dogo kwa nini amechagua hii Biashara ya taxi. Lengo ni kutengeneza connections.
Kwenye hii kazi unakutana na watu mbalimbali wenye exposure tofauti,business owners,HR's,CEO's nk,hivyo akiitumia kama chance kuna uwezekano wa kumpeleka kwenye stage nyingine. alAnaweza kufanikiwa.
Nipe 12m nikuuzie Mira, hutajutia. Ina sifa zote... lita moja 27km, ipo juu na ina nafasi... Nini kivule, hii inapanda mpaka milima ya Morogoro...Unasuggeat gari ipi?
Mzee wako itakuwa anamkubali sana mdogo wako.Habari wakuu,
Kuna huyu mdogo wetu kitaani hapa amemaliza chuo miaka kadhaa iliyopita ila yupo home Hana mishe za kueleweka. Sasa Mzee kastaafu na ameshachukua kiinua mgongo. Dogo amemwomba Mzee anunue gari ili awe anapiga mishe za taxi mtandao(Uber,bolt nk).
Chaguo lake yeye lilikuwa ni Toyota IST,lakini Mimi nikamshauri achukue toyota Aqua maana ni hybrid car Ina ulaji mzuri wa mafuta inaenda hadi 30km/h hivyo kwa Biashara ya taxi itakuwa nzuri kuliko IST.
Hilo lilikuwa pendekezo langu Mimi.
Ila yeye akaja na hoja kadhaa ambazo ni kama amenichallenji nimeshindwa kutetea hoja yangu.
Hoja zake anasema;
1.Aqua imekaa kimayai haiwezi kuhimili shida na routes za off-road kulinganisha na IST. IST anazikalisha gari nyingi mdogo kwenye hili ikiwemo na hii gari yangu niliyoipendekeza. Anasema IST gari ngumu haiwahi kuchakaa hasa ukizingatia itakuwa inapiga kazi karibia Kila siku,hivyo akaikataa gari Aqua katika hili.
2. Ground clearance.
Anasema Aqua ipo chini sana kulinganisha na IST,hivyo anaiona ni gari ya kwenye lami pekee. Akaniuliza vipi nikipata wateja wa bonyokwa na maji matitu niwakatae?
Kwa kifupi dogo ameikataa kabisa aqua na kung’ang’ania IST ingawa kwa hoja zake bado Mimi nilikuwa napendekeza aqua maana ni latest kuliko hiyo IST ya 2001.
Nimeona niletee humu ili kupata maoni tofauti kutoka kwa wajuzi na wataalamu wa magari,maana Mimi siyo mjuzi wa hilo eneo,japo nimempa ushauri dogo.
Wanasema kila mtu na bahati yake!!Watu wanazeekea kwenye kuendesha hizo tax mpaka miaka 40 anafanya hiyo kazi hizo connection hazipati ndogo ndo anazipata tu, hiyo ni assumptions mbovu sana, clients wengi hataki kusemeshwa wakiwa kwenye tax sasa huyu dogo wako atakua anawahoji tu kweli atawexa hiyo kazi bila kupata ajali?
🤣😂🤣😂😂🤣😂😂🤣😂😂🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂Tetea hoja yako,siyo unamshambulia mleta mada.
Itakuwa Story ya INSIDER MAN imemu-inspire sanaaaWatu wanazeekea kwenye kuendesha hizo tax mpaka miaka 40 anafanya hiyo kazi hizo connection hazipati ndogo ndo anazipata tu, hiyo ni assumptions mbovu sana, clients wengi hataki kusemeshwa wakiwa kwenye tax sasa huyu dogo wako atakua anawahoji tu kweli atawexa hiyo kazi bila kupata ajali?
Temana nae,Matola huwa ana mood swing kama mjamzito.Mbona broo hua nakuona kama una akili sana... sasa imekuaje kwa hii mada akili zimekutoka tena, aseee...
Bila shaka,uko sahihi kabisa.Mzee wako itakuwa anamkubali sana mdogo wako.
Anataka second hand from Japan Siyo used from Bongo.Nipe 12m nikuuzie Mira, hutajutia. Ina sifa zote... lita moja 27km, ipo juu na ina nafasi... Nini kivule, hii inapanda mpaka milima ya Morogoro...
Ok. Aje nimuagizie hiyo Mira kwa 11m kila kitu mpaka anaisukuma barabaraniAnataka second hand from Japan Siyo used from Bongo.
IST na bajaj ipi yenye space?Hizo gari zote hazifai kwa shghuli ya taxi, ni ndogo na fupi kwa abiria kupanda na kushuka.
Tatizo ground clearance ya aqua ipo chini sana,itakuwa ngumu kwa safari za off-road kulinganisha na IST.Biashara ya Uber pesa unapata ukipunguza gharama za mafuta pamoja na spare. Aqua ya 2015 inatembea 35Km kwa Lita moja tu na kuna watu wanaenda hadi 37Km kwa Lita moja.
Nashauri aende na Aqua hela ataiona.
tena huo mtaji toka kwenya mafao ya baba aliyestaafu utumishi..mzee wake kayasotea hayo mafao miaka zaidi ya 30 kwenye utumishi nae alivyo mjinga asiye na aibu anaona fahari kula jasho la mzee wake alilokusanya toka ujanani..na mbaya zaidi siku kijana akijipata atakula vizuri vyake na mkewe..ila wastaafu nao mizinguo tu wanakumbuka shuka jioooni jua linazama mdo wanaamza kuwekeza.!Elimu yetu inadhalilisha Sana, mtu unamlipia ada mtoto mamilioni mpaka anamaliza, badala aanze kujitegemea inabidi tena wewe ujipange umtafutie mtaji
Kuna Barabara gani Dar ambayo Toyota Aqua inashindwa kupita?Tatizo ground clearance ya aqua ipo chini sana,itakuwa ngumu kwa safari za off-road kulinganisha na IST.