Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Karibu boss, zero Km hiyo.Nii ndio gari sasa,
Ahsante Mkuu,yah laiti ningekuwa na pesa ningenunuaKaribu boss, zero Km hiyo.
Sio lazima ununue wewe hata wataarifu tu huko.Ahsante Mkuu,yah laiti ningekuwa na pesa ningenunua
Tutacomment hapa mpaka watu wengi waione Boss, zero kilometers inaondoa mikosi kwenye ukooSio lazima ununue wewe hata wataarifu tu huko.
Ni kweli kabisa bossTutacomment hapa mpaka watu wengi waione Boss, zero kilometers inaondoa mikosi kwenye ukoo
[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji4]Tutacomment hapa mpaka watu wengi waione Boss, zero kilometers inaondoa mikosi kwenye ukoo
Sana, gari inayopita popoteNaonaga ya mashirika ya kimataifa (DFPA, UNDP, UNESCO) wanayatumia sana.
kumbe 0km ndyo bei yake! π±
Hio ina economy ya 10.7km/l mkuu.
I nafika 10 kweli Kaka? Labda yangu ya zamani kidogo, ni coil ya 2002 haijawahi, zidi 8km highway!
Hemu imagine engine ya 1HZ or 1HDT iliyopo kwenye coaster ya kubeba watu 33 ndo imewekwa hump? Hii gari sio mchezo, tutafute hela
Latest inafika 10.7km/l ila za kizamani zilikuwa 8km/l ikiwa iko vizuri.
Diesel engine zenye cc kubwa zipo , very economy zinapobeba mzigo midogo.I nafika 10 kweli Kaka? Labda yangu ya zamani kidogo, ni coil ya 2002 haijawahi, zidi 8km highway!
Hemu imagine engine ya 1HZ or 1HDT iliyopo kwenye coaster ya kubeba watu 33 ndo imewekwa hump? Hii gari sio mchezo, tutafute hela