Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 8,221
- 22,496
Kwa sheria gani popoma wewe hujui mambo ya magariGari kisheria likitembea km 1 ni USED
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sheria gani popoma wewe hujui mambo ya magariGari kisheria likitembea km 1 ni USED
Hata kama imetembea km 3000bado inaitwa mpyaGari kisheria likitembea km 1 ni USED
Mkuu 10km/l kwa diesel hilo sijapinga kwani hata mimi natumia diesel kwa injini kubwa natembea hizo km but hii ya 14km/L ndio nimetia mashaka wala sio ujuajiPunguza Ubishi na Ujuaji mkuu, ni kweli alichosema mdau, mfano hiyo Kruza inakupa Km 10 kwa lita 1 ya Diesel vzuri kabisaaaa kama unazingatia service. Hizi gari tusiziogope mkuu, huo ndio ukweli.
Kuna 1hz-T zipo kibao tuu
Kapande kitandani fasta huenda mawazo yako yakafika Mbinguni ukaoteshwa ndoto njema mchana huu huu! All the best.Ngoja tuendelee kuota kuimiliki
Ukiwa JF Raha sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nikiwa nalo hata vibali siweki hapo mbele.
Traffic akinisimamisha namuuliza "unanijua Mimi"
Hongera mkuu wataka inunua?🤣🤣🤣🤣🪑Gari imeuzwa?
Hongera mkuu wataka inunua?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]🪑