Car4Sale Toyota Land Cruiser Hardtop 160,000,000/= (With full registration)

Car4Sale Toyota Land Cruiser Hardtop 160,000,000/= (With full registration)

Gari kisheria likitembea km 1 ni USED
Hata kama imetembea km 3000bado inaitwa mpya
Congo wanachukua brand new na kuzimbeza hadi kwao zinafika huko Ikiwa na 2000 + km na bado zinaitwa mpya
Bado haijafanywa service hata moja na bado ipo kwenye factory warranty, seat iliyotumika hapo ni ya dereva tu ,ni mpya!!!
 
Punguza Ubishi na Ujuaji mkuu, ni kweli alichosema mdau, mfano hiyo Kruza inakupa Km 10 kwa lita 1 ya Diesel vzuri kabisaaaa kama unazingatia service. Hizi gari tusiziogope mkuu, huo ndio ukweli.
Mkuu 10km/l kwa diesel hilo sijapinga kwani hata mimi natumia diesel kwa injini kubwa natembea hizo km but hii ya 14km/L ndio nimetia mashaka wala sio ujuaji
 
Ngoja tuendelee kuota kuimiliki
Kapande kitandani fasta huenda mawazo yako yakafika Mbinguni ukaoteshwa ndoto njema mchana huu huu! All the best.
 
Chuma cha nguvu, kwenye rough road inapasua balaaa
 
Back
Top Bottom