Toyota land cruiser prado for sale

Toyota land cruiser prado for sale

Mfalme hiyo bei umefanya utafiti lakini? Mi naiona very high
 
Ushuru wake ni kiasi gani? Maana kuna jamaa yangu mmoja alitoa kama hiyo mwanzoni mwa mwaka jana (2001 model) kwa 15M!!
 
Bei yake imeandikwa $ 16,000, kwa bei ya madafu (x TSh. 1,370) itakuwa 21,920,000, jumlisha na kodi (sio chini ya 15,000,000) kwa hivyo mtu atarajie kuwa na angalau 37 million mfukoni.

Sio ghali kwa PRADO.
 
Babu gari model hii sana sana 25 M inatembea barabarani. Bei hiyo, ni model mpya zaidi ya hiyo au ya miaka ya karibuni kuliko hiyo. Cha juu.
 
Babu gari model hii sana sana 25 M inatembea barabarani. Bei hiyo, ni model mpya zaidi ya hiyo au ya miaka ya karibuni kuliko hiyo. Cha juu.

Mkuu Ama hapa hakuna cha juu this is direct from the seller
 
Bei yake imeandikwa $ 16,000, kwa bei ya madafu (x TSh. 1,370) itakuwa 21,920,000, jumlisha na kodi (sio chini ya 15,000,000) kwa hivyo mtu atarajie kuwa na angalau 37 million mfukoni.

Sio ghali kwa PRADO.

Thanks kwa hilo walio niPM wengi wanataka nisell kwa 13-14$ but naweza kuwa fikilia
 
Babu gari model hii sana sana 25 M inatembea barabarani. Bei hiyo, ni model mpya zaidi ya hiyo au ya miaka ya karibuni kuliko hiyo. Cha juu.

hii gari 16000USD ni ghali sana! hizi gari unazipata kwa 8,000USD to 13,000USD Direct from Japan ikiwa kwy hali nzuri tena model ya kisasa!na wala si zile USED wanazoassemble Dubai
 
Watu bwana!jamaa kasema bei yake-si ingekuwa bora ku bargain kuliko wengine kuwa TRA,wengine importers,wengine kuonyesha utaalamu wao etc. Kama mnunuzi unaangalia unamwambia kwa mm naweza kwa bei hii. Kwa sababu hizo gari zipo hata kwa nusu ya bei hizo hapo DSM, lakini je ni genuine au ni za wizi au papers zake ziko kwenye hali mbaya etc. K O K ukiamua kutangaza humu yote yavumilie!
 
Watanzania tumezoea vya kunyonga vya kuchinja hatuviwezi. Mashine imesimama, kila la kumpata mnunuzi mwenye dhamira halisi ya kuinunua na pesa zake sio hawa wababaishaji wa huku.
 
Watanzania tumezoea vya kunyonga vya kuchinja hatuviwezi. Mashine imesimama, kila la kumpata mnunuzi mwenye dhamira halisi ya kuinunua na pesa zake sio hawa wababaishaji wa huku.

Mnunuzi ameishapatikana Mkuu
 
Back
Top Bottom