Sam bm
JF-Expert Member
- Oct 25, 2017
- 285
- 195
Ukitaka kwa mtu alietumia yaan kwa namba B utapata kuanzia mili 70 ila ukitaka kuchukua toka yard andaa kuanzia mili 120Ndio mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka kwa mtu alietumia yaan kwa namba B utapata kuanzia mili 70 ila ukitaka kuchukua toka yard andaa kuanzia mili 120Ndio mkuu
Nataka mpya kabisaUkitaka kwa mtu alietumia yaan kwa namba B utapata kuanzia mili 70 ila ukitaka kuchukua toka yard andaa kuanzia mili 120
Andaa mili 150 then nenda pale toyota kwenye show room yaoNataka mpya kabisa
Shukrani mkuuAndaa mili 150 then nenda pale toyota kwenye show room yao
Japani ni nchi jirani hahah?Chukua kwenye yadi zetu hapa tz. Usijenunua gari nchi jirani kumbe iliibiwa tz na kuuzwa huko na wewe unairudisha kwa mbwembwe.
Fikiri nje ya box
Hilo Janga. Prado bei ya vitz?Toyota Vehicles for Sale
ipo Prado ya mwaka 2006 kwa milioni sita tu (6,000,000)
zaidi ya hapo endelea mwenyewe kusearch
![]()
Amesema Burundi sio Japan mbona unakurupuka au vyuma??Japani ni nchi jirani hahah?
Siku ambayo Bandari itasafirisha gari lililoibiwa from Dar to Japani nadhani Mpk Magu atakuja kushuhudia hilo tukio hahah.
Labda FOBHii Gari inauzwa M6????? Ama mm ndio sijaelewa hapo.!
Sawa kabisaLabda FOB
Hii Gari inauzwa M6????? Ama mm ndio sijaelewa hapo.!
HahahJapani ni nchi jirani hahah?
Siku ambayo Bandari itasafirisha gari lililoibiwa from Dar to Japani nadhani Mpk Magu atakuja kushuhudia hilo tukio hahah.
Hilo gari litakuua la kizee sanaKuna mtu anaijua vizuri hii gari?. Inaweza kwenye rafu road? Ama inatakiwa kwenye lami tu.
View attachment 2047197
Kwani mi mtoto?Hilo gari litakuua la kizee sana
Wapi huko unataka kumpoteza namba B hata 14m haivukiUkitaka kwa mtu alietumia yaan kwa namba B utapata kuanzia mili 70 ila ukitaka kuchukua toka yard andaa kuanzia mili 120