Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanini hizi maushuru wasipunguze, watu wawe na magari mengi yatakayorahisisha utendaji kazi, utendaji kazi ukiongezeka (kwa sababu gari ni zana ya kutafutia pesa sana) basi uchumi utakua, upande mwingine, wachukue ushuru mkubwa kwenye mafuta kwa sababu kutakuwa na watu wengi wanaopanga foleni petrol station. huwa wanafikiria kweli? mtu akitaka kuagiza gari hata japan tu inabidi ajifikirie kwanza manake pesa ile umenunulia, ungekuwa unaishi japani ungenunua magari mawili.Habari wakuu hivi Kuna namna ya kufanya discount ya Ushuruu? Nahitaji kuagiza hii chuma ila Ushuruu umeipiku Hadi bei ya
View attachment 3124868View attachment 3124869
Vipi kama ikiwa aina ni hiyohiyo uliyoihitaji na bei ni milioni 200 tu,utanunua?nahitaji land cruiser V8 new model ya million 480
mpya unajua bei yakeVipi kama ikiwa aina ni hiyohiyo uliyoihitaji na bei ni milioni 200 tu,utanunua?
NB:Umenikumbusha watu wa kabila moja wakifika dukani wanaulizia shati la elfu themanini kama lipo anunue.
Naamini hata ingekuwa ni bilioni tatu wewe ungenunua tu.Kuwa risky takers ndiyo mambo yenu.mpya unajua bei yake
Nusu ya bei au mara mbili ya beiIyo mkuu uandae mpunga ushuru wake NUSU ya hiyo bei
mwaka huu mwenzako nanunuliwa IST na ExtrovertKo hapo unanunua gari 2, ila unakabidhiwa 1.
Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]