Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Kwa Arabuni haitouza sana maana Land Cruiser zenye engine ya 1VD ndio zinafanya vizuri jangwani.Labda Aussie; maana Ulaya hizi large SUVs wala hawana habari nazo. Wao ni crossovers (compact SUVs) na mid-sized SUVs!
Bigger HP = bigger engine = high fuel consumption
Inabidi ujue soko lako ni lipi na their clever to satisfy it
Sent from my iPhone using JamiiForums
Gari ya HP 500 si itakua na engine ya V12 sasa nani atanunu jini la hilo...
Sent using Jamii Forums mobile app
naomba kufahamu kivipi matumizi ya torque yanapunguza ulaji wa magutaHiyo ilikuwa zamani, siku hizi engine zipo refined (hasa za diesel) na very efficient, unless uwe unafanya racing, ila ukielewa kutumia engine torque vizuri kwa mizunguko ya kawaida utapata fuel returns za kufurahisha hata Kama engine kubwa
Mwaka fulani nilipata Ka deiwaka kumwendesha mstaafu fulani Kutoka dar kwenda mbeya, Gari ilikuwa Toyota Prado 1kz, kwa wanaoijua vizuri 1kz ni notorious kwa bad fuel consumption, ila Ina nguvu.
Nikatumia principle ya torque, mwendo haukuwa makali na tulifika mbeya kabla ya giza, nikiwa nimeitumia Lita 75 tu, mzee anasema tokea anunue hiyo Gari, Lita 70 zilikuwa zinaishia iringa, mbeya siku zote alikuwa anaweka Lita 140.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maximum torque, ndo sehemu engine Inatoa nguvu kiufanisi, na kirahisi kabisa, kuanzia ulaji wa mafuta, friction forces pamoja na heat .naomba kufahamu kivipi matumizi ya torque yanapunguza ulaji wa maguta
Sent using Jamii Forums mobile app
hata likiwa la umeme mzee itabidi uwe unatembea nyuma na tela la power bank[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Jini kweli na linapeleka mafuta kweli
Otherwise liwe la umeme
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hio 197HP ni kwa auto,manual ni 238HP.
Hio gari mimi nilikua nayo(manual) na hio 7.65km/l sio kweli hizo ni assumption za under ideal conditions lkn kwa mazingira halisi 6.5km/l ndio consumption yake.
Na wala engine ya cc 1300 kula 6-7km/l wala sio big deal kwa Rotary engine,umeshajua consumption ya Engine oil kwny rotary engine ikoje?Utashangaaa
Ndio maana hio concept yako Bigger HP = bigger engine = high fuel consumption' lazima ueleze na ni tech. gani unaongelea hapa.
dodge
'Bigger HP = bigger engine = high fuel consumption'Ndo maana nimesema rotery engine zinakula sana kuriko engine za kawaida maana mfumo wake ni tofaut
Ist pia ina 1400l nahisi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Gari ya HP 500 si itakua na engine ya V12 sasa nani atanunu jini la hilo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ilikuwa zamani, siku hizi engine zipo refined (hasa za diesel) na very efficient, unless uwe unafanya racing, ila ukielewa kutumia engine torque vizuri kwa mizunguko ya kawaida utapata fuel returns za kufurahisha hata Kama engine kubwa
Mwaka fulani nilipata Ka deiwaka kumwendesha mstaafu fulani Kutoka dar kwenda mbeya, Gari ilikuwa Toyota Prado 1kz, kwa wanaoijua vizuri 1kz ni notorious kwa bad fuel consumption, ila Ina nguvu.
Nikatumia principle ya torque, mwendo haukuwa makali na tulifika mbeya kabla ya giza, nikiwa nimeitumia Lita 75 tu, mzee anasema tokea anunue hiyo Gari, Lita 70 zilikuwa zinaishia iringa, mbeya siku zote alikuwa anaweka Lita 140.
Sent using Jamii Forums mobile app
nikajua niko peke yangu, sielewi kabisa wanachobishanaDuuh huu uzi ni wa mainjinia tu sisi wengine acha tusone comments tu
'Bigger HP = bigger engine = high fuel consumption'
Ndio maana hio concept yako hapo nikakwambia inategemea na tech iliyotumika.
dodge
hata likiwa la umeme mzee itabidi uwe unatembea nyuma na tela la power bank[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu waambie hata Engine ya Nissan Patrol ile ya kutumia petrol TB48DE ambayo ni inline 6 cylinder ilifanyiwa modification na ikatoa Horsepower 2000 na kutumika majangwani huko Uarabuni.Si lazima iwe V12,Ziko V8 nyingi tu zinatoa hizo HP 500 and above.
dodge
Engine ya Nissan Patrol TB48 au TB45 hizi ni inline 6 cylinder ukizifanyia modification zinatoa HP 500 bila kigugumizi.Gari ya HP 500 si itakua na engine ya V12 sasa nani atanunu jini la hilo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Toyota huwa wana-under power engine zao makusudi kuongeza reliability ya engine. Ni mapping tu kwenye ECU, kuna software ukipitisha tu, bila modification yoyote hiyo engine inakupa 400 mpaka 450 hpWill produce 220kW=295 HP
Sijui ni kwanini Toyota mpk leo hawapendagi ma HP makubwa makubwa,maana kama ni ile 'gentleman agreement' ya mwaka 1989 ya max HP ni 276 ilishakufaga kidizaini.
dodge
Hio kitu nimeshafanya kwny gari 1 hivi(toyota) jiko lilikua 1g-fe 160hp, after ECU remapping 250hp so nawasoma vzr mzee baba.Toyota huwa wana-under power engine zao makusudi kuongeza reliability ya engine. Ni mapping tu kwenye ECU, kuna software ukipitisha tu, bila modification yoyote hiyo engine inakupa 400 mpaka 450 hp