MKIBAIGWAsharkss
JF-Expert Member
- May 25, 2017
- 572
- 1,331
- Thread starter
- #21
Mzee baba wewe ni mfanyabiashara wa magari?
Naona kila baada ya miezi kadhaa unatafuta ndinga mpya
Nafanya kama motivation ya kazi zangu
Huwa najiwekea malengo na nasema Nikifikisha kipato flani kwa mwaka huu nitajinunulia gari flani
Kwasababu napenda sana magari inasababisha nifanye kazi kwa bidii sana ili nifike Lengo nipate hio gari.
Nothing else