Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Na kwenye mwendo namkataaa yani ππππUnadaka X5 moja kali sana. Tena ya 2016 tu. Kwa nusu bei. Hafu mkipaki bado unaonekana wewe mjanja. Mwenye LC inaonekana ya Serikali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kwenye mwendo namkataaa yani ππππUnadaka X5 moja kali sana. Tena ya 2016 tu. Kwa nusu bei. Hafu mkipaki bado unaonekana wewe mjanja. Mwenye LC inaonekana ya Serikali.
Fala sana wewe, ukija masaki utakuwa jirani yangu asee sema mie naagiza GLS 600.. utanikaribia kweli hapo πππKuna mbibi flani hapa Denmark anakaribia kuretire amekuwa mtumishi toka late 70s. Package yake ya retirement ni hela ndefu sana kaniahid tutagawaba na cha Kwanza ni kuchukua iyo LC300 na apartment masaki. Na kinachofuatia ni kutandaza miti at will. Yani huyu mbibi nimemganda balaa
kakabe aseeedaaah, huu uzi haunifai maana hata bike sina
ukidakwa unakaba, wanakula rinda chapkakabe aseee
Mwakani ukiliona limepaki karibu na hilo LiGSL lako jua mwanaume tayari ni jirani yako hapa.Fala sana wewe, ukija masaki utakuwa jirani yangu asee sema mie naagiza GLS 600.. utanikaribia kweli hapo πππ
Mbona kama imefanyiwa facelift hii πππ
ππππππ hapo unatawala sana watoto wa obey na masakiMwakani ukiliona limepaki karibu na hilo LiGSL lako jua mwanaume tayari ni jirani yako hapa.
ππΏππΏππΏView attachment 2026088View attachment 2026089View attachment 2026090
vita ni vita muraaa, waki bugi unawala rinda wao πππukidakwa unakaba, wanakula rinda chap
hahahahhaHalmashauri wajipange waagize mengi. Msimu wa mvua huu ili wayatumie kukagua miradi ya kimkakati
Aliyeuziwa hayuko kwenye mfumo au Rushwa aliyotoa kuna mmoja hajamegewa kaamua kuchoma UTAMBI...Kuna moja ya serikali imepigwa mnada Milioni nane,aliyenunua kaambiwa arudishe na waliohusika wametakiwa kujieleza...
[emoji23][emoji23][emoji23] sijaelewa hapo mbeleMbona kama imefanyiwa facelift hii [emoji3][emoji3][emoji3]
Si mpaka uwe na hio hela ya kununua 2016 sport machine! Wabongo wengi wana fantasy tuπ gari zenu ni za 2010-2013 tu mkijipiga sana sio zaidi ya humo!π Bei haitoboi 70M.Na kwenye mwendo namkataaa yani ππππ
Maisha yanabadirika sanaaa.. tuponde tu utashangaa mwakani tunanunua machine ya 2023.. πππSi mpaka uwe na hio hela ya kununua 2016 sport machine! Wabongo wengi wana fantasy tuπ gari zenu ni za 2010-2013 tu mkijipiga sana sio zaidi ya humo!π Bei haitoboi 70M.
Na tena upate yenye performance kubwa zaidi ya 410HP maana nyingi zinakaa kwenye 250HP-350HP humo
Lini wizi ulishawahi kupungua?Hili linchi linaweza kukuua kwa pressure. Siku hizi uwizi serikalini unaendelea kwa kasi kubwa,uko ngazi ya PHD
Tafuta Cayenne Turbo au GTS, unawatembezea moto hata plates hawaoni.Na kwenye mwendo namkataaa yani [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ubaya wa hizi LC200, unakuta gari ya 2010 ila ikipigwa facelift unaona la juzi.Mbona kama imefanyiwa facelift hii [emoji3][emoji3][emoji3]
Nimekutana nayo moja hapa maeneo ya mlimani city inatokaTafuta Cayenne Turbo au GTS, unawatembezea moto hata plates hawaoni.