Bora hiyo Toyota mkuu
Nunua Toyota,
Sababu kubwa kwanza ukitaka kuuza ni rahisi,ila Nissan Serena utatamba nayo hata milioni moja hakupi mtu.
Kuna jamaa ana mwaka wa pili anaiuza na hamna anaeitaka hata kuiona.
Nissan tatizo lake kubwa ni kwamba mafundi wengi wanazibahatisha hizi gari,sasa unaweza kukuta tatizo dogo unaiweka ndani,na pia spare zake ghali sana na nyingi haziingiliani kama zilivyo Toyota.
Na Pia fuel consumption ya Noah liteace ipo vizuri.
Halafu Noah ni gari bora kabisa ya kizazi cha sasa as Family vehicle,yaani hata kama ukiwaambia wanao wachague basi watachagua Noah.Ninakuambia hivyo kwakuwa ndio natumia kama Family Vehicle.Noah heshima kati ya gari za familia kwa sasa hasa wenye kipato cha chini kama mie,kwanza matengenezo na kesi za kijinga huwa hazina,ila Nissan utajuta mkuu.
Naungana na jamaa hapo kwamba tafuta noah ya chini ya mwaka 2000 ndio zilikuwa toleo bora kabisa.
Ila kuwa makini sana zipo Noah nyingi watu wanachomekewa wakati ni Four wheel Drives,inabidi uulizie vizuri,matoleo ya four wheel drive yatakutesa sana hasa kwenye mafuta ni balaa.Niliona mtu aliagiza Noah na kujua zote ni two wheel drives basi watu wakamletetea kumbe four wheel cha moto anakiona.Na watu wengi sana tusiojua magari tunapigwa kwa style hiyo.
Mie siku zote huwa naona bora niwe mshamba ila lazima niulize mafundi wazoefu kwa ushauri zaidi
Napingana na Wadau hapo juu kwa sababu moja tu, umesema wahitaji kwa matumizi ya familia na sio biashara.
Although ni expensive na less available, but durability ya spares za Nissan ni bora sana. Pia hata comfortability ni kubwa kwa Nissan than Hiyo Toyota.
πππNilipo kuja tz mwaka jana, Ndio nimeona noha, katika safari zangu nikapata chalii alikuwa na noha akanipeleka shamba huko sijawahi fika zanzibar, niliipenda sana noha, kwa gari ya kifamilia ni poa na biashara. gari nilio kuwa natumia mwenyewe ni daihatsu terios, hii gari ni economy, kama unaipata safi sana. Mpaka sasa nataka niwe na gari kati ya hizi mbili moja wapo,ila noha nimeipenda kwa shape yake ya kuvutia sana, lakini daihatsu terios nimeipenda ni more economic kwa matumizi binafsi.
Kanyoe ndevu upunguze kuchapia,sio NOHA ni NOAH.πππNilipo kuja tz mwaka jana, Ndio nimeona noha, katika safari zangu nikapata chalii alikuwa na noha akanipeleka shamba huko sijawahi fika zanzibar, niliipenda sana noha, kwa gari ya kifamilia ni poa na biashara. gari nilio kuwa natumia mwenyewe ni daihatsu terios, hii gari ni economy, kama unaipata safi sana. Mpaka sasa nataka niwe na gari kati ya hizi mbili moja wapo,ila noha nimeipenda kwa shape yake ya kuvutia sana, lakini daihatsu terios nimeipenda ni more economic kwa matumizi binafsi.
Ameanza nilipokuja tz...mbona hivyo jamani simmelewaNoha = Noah
Kanyoe ndevu upunguze kuchapia,sio NOHA ni NOAH.
Kama ni Dem basi nunua Daihatsu,maana mie naona imekaa kidada au sijui kwa vile jirani yangu mwanamama anaitumia,ila kama ni man nunua NOAH
Asante mzee wa ulaya.Hahahaha, vyote sawa si umeelewa nimemaanisha nini, hizi noah huku Europe zipo chache sana, kama unaamini nime Ziona zanzibar.
Halafu daihatsu haijaandikwa kama ya kike wala kiume.
Jengine eneo ambalo ndio itakuwa makazi yangu, gari kama noah naona nitaiyua kwanza njia mbovu, jiwe tupu na mashimo, nahisi noah ipo chini. Si Ushafika tunguu? 
Old model is the best.....izo za sasa ivi ni box sana amna kitu pale just take super extra ni nzur sana huta juta..
Kuna bro wangu anayo toka 2012 haija wahi zingu had ss