gervas milinga
New Member
- Apr 10, 2021
- 3
- 8
Naomba wataalamu mnisaidie mada tajwa hapo juu nimekutana na markII namba A jamaa anataka 2.5M is he correct? Vip vipul na ulaji wa mafuta mim ni mgen kwenye magar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa kiongoz nashukuru kwa ushaur.achana nayo itakua imechakaa sana hiyo
Ndiyo bei zake, au ulipendekeza iuzwe bei gani mkuu?Hiyo bei mbona IPO chini Sana kama unanunua bodaboda!!!!!
Achana nayo kabisa anakuuzia matatizo huyo bei ya sanlg haiwezi kuwa gariNaomba wataalamu mnisaidie mada tajwa hapo juu nimekutana na markII namba A jamaa anataka 2.5M is he correct? Vip vipul na ulaji wa mafuta mim ni mgen kwenye magar
Gx100 ndiyo inacheza 3-4m, unategemea gx90 au gx80 iuzwe bei gani?Achana nayo kabisa anakuuzia matatizo huyo bei ya sanlg haiwezi kuwa gari
Kwa mtazamo wangu Naona Bora ajichange Tu anunue gari ambayo haitamsumbua ni Bora atafute Carina TI angalau atafutahia gariNdiyo bei zake, au ulipendekeza iuzwe bei gani mkuu?
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Jamaa anasema aHiyo bei mbona IPO chini Sana kama unanunua bodaboda!!!!!
Gx100 ndiyo inacheza 3-4m, unategemea gx90 au gx80 iuzwe bei gani?
Hata hivyo mleta mada hajasema ni ipi..
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Gx100 ndiyo inacheza 3-4m, unategemea gx90 au gx80 iuzwe bei gani?
Hata hivyo mleta mada hajasema ni ipi..
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Hapa dogo wangu alinunua laki nane ya mjeda flan mstaafu. Hata bure usichukue
Dogo wako au wewe...😁Hapa dogo wangu alinunua laki nane ya mjeda flan mstaafu. Hata bure usichukue
Duh Naona imepigwa rangi ya nyumba kabisaaa.View attachment 2217315View attachment 2217317View attachment 2217317View attachment 2217321
Hii gari haijatumika ipasavyo... Tshs. MIL. 4 NINAIUZA... Ilikuwa ya kutoka mara chache chache sana hata bodi, bado lina upya wake. Pia imepakwa rangi mara 1 baada ya Mjapani kupaka yake na hiyo tangi ina mwaka 1 na 3 months sasa.
View attachment 2217320
Ngoja tuwaulize ma police maana ndio magari wanayopenda kuyanunua.Nje ya maada hivi hizi gari kwa nini wamiliki wake wengi walikuwa wanapenda kuweka hizo kapeti za manyoya kwenye dashboard au wadoli ndani ya gari ? 🐒
Na wengi wa wa wachangiaji wa humu hata Pikipiki ya TVS hawana, wamejaa humu kupotosha na kutoa taarifa za mambo wasiyoyajuaWote mnaosema # A ni bovu ni wapumbavu.
Huwezi kujua ubora au hali ya gari kwa kuuliza ni # ngapi
Kuna watu wana magari # A yapo vzr kuliko yenye # DV
Watu wanaoishi mikoa ya Kilimanjaro na Arusha watakubaliana na mimi, yani unakuta Rav 4 ya mzee wa kimachame #AAB imenyooka bodi na injini kinanda ukipiga start inatema maji kwa exhaust
Sasa kachukuche gari DRB la kijana wa Dar uone balaa Lake