kamanda mbigi
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 1,241
- 1,546
Wamiliki wa passo tushawazoea....Wakuu naona designers wa toyota wanafeli kwny baadhi ya new model zao sura zake yani bodi mbaya kuliko model za nyuma..
Mfano Mark x, landcruiser prado, passo naona mbaya kuliko za nyuma..
Maoni yenu yapoje wadau na je nyingine ipi mnaona wamechemka...