Tough lady
Senior Member
- Jul 24, 2013
- 151
- 183
dada mbona tangazo lako la siku nyingi sana bado tu hujapata hii baby worker? kwa nini usagize japan mwezi mmoja tu unapata jumla Tsh 7M
Habari wadau,
Natafuta Toyota Passo ya mwaka 2004 au 2005,nzima, iwe imelipiwa ushuru au kama inatumika, isiwe na zaidi ya mwezi 1 Tanzania.Bei iwe kuanzia mil 5.5 hadi 6.5...
Rangi yoyote isiwe nyeupe au njano.Usipige kunibadili mawazo, iwe Toyota Passo tu.
0765 612193,,
Meseji hazitajibiwa.