ebbyramadhani
Senior Member
- Jan 5, 2017
- 101
- 109
Habari wana jamvi
Naomba kufahamu gari aina ya toyota passo..
Kutembelea kwa katika shuhuli zangu.Unataka ya kuwa unabebea mayai kwenda kuuza?
"Dar tanda au Sar Dodoma" Hapa umeandika kisandawe?Kutembelea kwa katika shuhuli zangu
Na pia kusafir nayo mkoani mala moja moja nyakati za rikizo
Dar tanda au Sar dodoma
Wanakudanganya kama uwezo wako ni passo wala usihofu mimi naishi tanga mishe zangu ni tanga dar tanga moro tanga arusha na nna passo mwaka wa 4 huu, kuchemsha ni ubovu wa gari husika sio gari zote ziko hivyo.Kutembelea kwa katika shuhuli zangu
Na pia kusafir nayo mkoani mala moja moja nyakati za rikizo
Dar tanda au Sar dodoma
Ahsante sana ndugupasso kama waitaka tafuta ya piston 4 sio 3 itakusumbuwa na havina nguvu ,Ila ukipata 4,popote unaenda na haina shida yeyote ,
Shida wengi waliokuja kuchukuwa passo waliingia mkenge kwa kuchukuwa zenye piston3 na ndomana wakatokea kuzichukia maana zinakuwa na engine ndogo hazina power huwa zinatetemeka mlimani kikianza kuchoka hakipandi
yes tofauti ipo piston 3 unaeza ipata nafuu maana wengi wanavikimbia sana unaeza kuta namba d inauzwa hata nne ,Ahsante sana ndugu
Na kwa bei zina tofauti
Ya piston 3 na 4?
Ok ahsanteyes tofauti ipo piston 3 unaeza ipata nafuu maana wengi wanavikimbia sana unaeza kuta namba d inauzwa hata nne ,
Ila piston 4 imechangamka kidogo na Huwa wanakomaa bei nadra kuikuta chini labda mtu auze ana matatizo tu ,
Vits ni bora zaidi kuliko Passo, ila vits old maana zenyewe ni ngumu zinahimili sana mikimikimi hata kama ukaa kule madongo kuinama, tofauti na passo zimekaa mayai sana ,hazitaki shurba ,ila vits chini ni ngumu sana ,Ok ahsante
Ntaanza kufatilia
Na vipi vitz
Ni bora kuliko passo
Vitz rs
Vitz RS is the best..Ok ahsante
Ntaanza kufatilia
Na vipi vitz
Ni bora kuliko passo
Vitz rs
Najitahid niagize mpyavits ni bora zaidi kuliko passo , ila vits old maana zenyewe ni ngumu zinahimili sana mikimikimi hata kama ukaa kule madongo kuinama, tofauti na passo zimekaa mayai sana ,hazitaki shurba ,ila vits chini ni ngumu sana ,
kama unaweza chukuwa vits old ,unapata nzuri mkononi mpaka unaienjoy ,na utadumu nayo muda mrefu
sawa agiza vits old ,sio hizi new modelNajitahid niagize mpya
Staki ya mkononi
Shukran sanasawa agiza vits old ,sio hizi new model
Mkuu inaonesha una ufahamu sana kama sio kidogo juu ya magari, naomba nikuulize natamani kununua Toyota Noah ila sijajua sifa zake na je aina gani ya Noah ni nzuri? Nataka kwa matumizi yote ya private lakini pia hata kukodisha!passo kama waitaka tafuta ya piston 4 sio 3 itakusumbuwa na havina nguvu ,Ila ukipata 4,popote unaenda na haina shida yeyote ,
Shida wengi waliokuja kuchukuwa passo waliingia mkenge kwa kuchukuwa zenye piston3 na ndomana wakatokea kuzichukia maana zinakuwa na engine ndogo hazina power huwa zinatetemeka mlimani kikianza kuchoka hakipandi
Walichojarib kukielezeaWanakudanganya kama uwezo wako ni passo wala usihofu mimi naishi tanga mishe zangu ni tanga dar tanga moro tanga arusha na nna passo mwaka wa 4 huu, kuchemsha ni ubovu wa gari husika sio gari zote ziko hivyo. Sasa jiulize hizo gari IT wanazipeleka zambia na malawi huko je zinafikaje? Mjapan asinge endelea tengeneza hizo gari toka 2014 angekuwa ameachana nazo kumbuka injin yake ya 1kr ipo kwenye gar kadhaa wa kadhaa ambazo pia zikiwekwa hapa zasifiwa
Vigari vyote vyenye piston chache vinatetemeka sana hasa ako ka passo na suzuki kei, huwezi kufananisha utulivu wa mark2 na wa Corrolla zikiwa standby ama sailensa kama wabongo wanavyosemaga!Daah ila ka passo kuna muda kinatetemeka mpk unasikia mwili unawasha kama umekunywa klorokwini vile.