Mkuu hiyo bei unapewa na ofa ya mafuta miaka mitano ama? Kwa bei hiyo naagizaToyota Prado ambayo kwa kiasi kikubwa ni imetumika kwa misele ya Dar es salaam ingawaje mara moja moja ilikuwa inapiga trip za mkoa. Gari ipo safi kabisa, ni wewe tu kuchukua funguo unasepa nayo.
FACT SHEET:
Make: Toyota Prado
Model: P2J 120
Manufactured Year: 2002
Mileage: 151,046 km
Fuel: Petrol
Engine Vol: 2700 cc
Sehemu ilipo: Mtoni Kijichi
Mawasiliano: 0676 30 55 18
BEI: TZS 28 Million! Kibongo bongo maongezi yapo, sana tu>>> HAKUNA DALALI
Anayehitaji huo usafiri, karibu tufanye biashara!
Labda nikukumbushe kwamba hiyo sio Harrier wala Subaru!! Una lingine?Mkuu hiyo bei unapewa na ofa ya mafuta miaka mitano ama? Kwa bei hiyo naagiza
Harrier sec gen na chenji inabaki
Subaru xt 2008 na chenji juu
Tena chenji ya kujaza mafuta kwa miaka zaid ya miwili na kwa long trip
Hii gari thamani yake haizidi M5. Gari ya 2002 tena imetumika Bongo, namba yenyewe ni B. Acheni utani kwenye vitu serious. Au we Dalali mpya?Toyota Prado ambayo kwa kiasi kikubwa ni imetumika kwa misele ya Dar es salaam ingawaje mara moja moja ilikuwa inapiga trip za mkoa. Gari ipo safi kabisa, ni wewe tu kuchukua funguo unasepa nayo.
FACT SHEET:
Make: Toyota Prado
Model: P2J 120
Manufactured Year: 2002
Mileage: 151,046 km
Fuel: Petrol
Engine Vol: 2700 cc
Sehemu ilipo: Mtoni Kijichi
Mawasiliano: 0676 30 55 18
BEI: TZS 28 Million! Kibongo bongo maongezi yapo, sana tu>>> HAKUNA DALALI
Anayehitaji huo usafiri, karibu tufanye biashara!View attachment 924420
View attachment 924425
View attachment 924421
View attachment 924422
View attachment 924423
View attachment 924424
Tunauza gari mzee na na sio chakula cha vifaranga!! Karibu siku nyingine ukiona tangazo la kuuza chakula cha vifaranga!Hii gari thamani yake haizidi M5. Gari ya 2002 tena imetumika Bongo, namba yenyewe ni B. Acheni utani kwenye vitu serious. Au we Dalali mpya?
Raha ya gari ni upya! Hiyo 28M, unapata Vitz MPYA nne!Mkuu hiyo bei unapewa na ofa ya mafuta miaka mitano ama? Kwa bei hiyo naagiza
Harrier sec gen na chenji inabaki
Subaru xt 2008 na chenji juu
Tena chenji ya kujaza mafuta kwa miaka zaid ya miwili na kwa long trip
Nami pia nakukumbusha kwa hiyo bei labda ukauzie zimbambwe ila huku utageuza banda la kufugia kukuLabda nikukumbushe kwamba hiyo sio Harrier wala Subaru!! Una lingine?
Hilo ni kopo hamna Gari apoTunauza gari mzee na na sio chakula cha vifaranga!! Karibu siku nyingine ukiona tangazo la kuuza chakula cha vifaranga!
Ulisema unataka Harrier au Subaru vile?!Nami pia nakukumbusha kwa hiyo bei labda ukauzie zimbambwe ila huku utageuza banda la kufugia kuku
Unajua sijafahamu unachotaka hasa ni nini! Unaulizia chakula vya vifaranga au makopo ya kunyweshea vifaranga?!Hilo ni kopo hamna Gari apo
Mpya ukimaanisha?Au zile used tunazonunua zilizojambiwa na wajapan?Raha ya gari ni upya! Hiyo 28M, unapata Vitz MPYA nne!
Tena kuna Vitz fulani hivi, ukiongeza hela kidogo tu hapo unapata hadi 10; wewe unasema 4!Raha ya gari ni upya! Hiyo 28M, unapata Vitz MPYA nne!
We Dalali mpya, jua jinsi ya kunadi vitu ulivyopewa na mabosi wako.Mpya ukimaanisha?Au zile used tunazonunua zilizojambiwa na wajapan?
Hivi ndivyo vitu unavyoweza,discussion za bizness sio size zako.We Dalali mpya, jua jinsi ya kunadi vitu ulivyopewa na mabosi wako.
JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE MNENE AENJOY SEX - JamiiForumsHivi ndivyo vitu unavyoweza,discussion za bizness sio size zako.
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1474843/
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1383856/We Dalali mpya, jua jinsi ya kunadi vitu ulivyopewa na mabosi wako.
Jinsi ya kumchuna mwanamke - JamiiForumsWe Dalali mpya, jua jinsi ya kunadi vitu ulivyopewa na mabosi wako.
Ulishatahiriwa kwanza.We Dalali mpya, jua jinsi ya kunadi vitu ulivyopewa na mabosi wako.