Toyota Prado Ipi Bora?

Toyota Prado Ipi Bora?

Ndio hicho kitu nasema sidhani kama kinawezekana kuwa na Landcruiser kubwa kama Prado ukakuta lina 4 Cylinder.

Na kama ipo, engine ya 4 Cylinder kuvuta Prado itakuwa haina nguvu, utakuta inalazimika kutumia mafuta yale yale kama 6 cyl.

Kwa nini usi consider Prado ya diesel? Again, kama lengo ni ku save kwenye mafuta.

Sasa 2TR ina cylinder ngapi? Kama sio nne ...prado lenye 6 ni lile la cc 4000 petrol....zingine sinui kina 5L 1KD ni 4cyltu


Kuhusu nguvu tunaangalia output ya engine husika .,.sidhani kama unaijua 1GD ftv utaikuta kwa hiace na prado za kwanzia generation ya 4 ....ni 4cyl tu nguvu ni zaidi ya vicruza vya 1HD zenye 6cly hata kusepa kufika 100 linaizid cruza lx hizi
 
mkuu usipotoshe watu, 90% ya prado unazoziona mtaani zina 4 cylinders....,engine pekee yenye six cylinder kwaajili ya prado ni VZ series..hasa 5VZ. ....izo TR engine series, RZ series, 1kz, 5l, 3L zote ni 4 cylinder....iwe ya diesel au petrol. ....prado its a light landcruiser, haina nguvu kama mkonga inayotumia 1HZ. ni cruiser kwaajili ya matumizi ya kawaida tu. safari za hapa na pale na sio kwendea porini. na huwa inaingiana sana engine na toyota hilux

Prado generation ya nne yenye 1GD Ftv ni Moto mwengne huwezi fananisha na ki 1HZ hata 1HD
 
....ni 4cyl tu nguvu ni zaidi ya vicruza vya 1HD zenye 6cly hata kusepa kufika 100 linaizid cruza lx hizi

Hizo nguvu za ziada za Prado 1GD wanazitumiaje, kusombea korosho ????

Au ina seat za watu 15 ?????
 
Nadhani jamaa hajui 3rz vizuri,, ikijitahidi sana ni 7.5 km hiyo 1GR v6 inakula vzr kuliko 3rz 1gr Unaweza kupata hata km9
1GR engine pendwa ya Toyota...Tangu 2002 iko mzigoni. Ameiamini kuifunga mpaka kwenye flag ship yake Landcruiser 300 series . Bonge moja la engine.
 
1GR engine pendwa ya Toyota...Tangu 2002 iko mzigoni. Ameiamini kuifunga mpaka kwenye flag ship yake Landcruiser 300 series . Bonge moja la engine.
Inajiweza sana hiyo engine
 
Back
Top Bottom