Toyota Prado, 'The Most Dangerous Vehicle' Seen

Brake za journey balaa kuna moja lilinitesa kutoka kasumulu to dar na mguu moja tu..

kha humu jf kuna vifaa.....hili ngarangara mwenge posta lingenitoa jasho wewe uetoka nalo wapi?!! kasumulu ndio mkoa gani.
 

Ni Sheria gani hiyo inayosema tanzania maxmum speed ni 100km/hr?? Hebu Share nasi kidogo.
 


Hiyo hapo mie nimenusurika nayo mara mbili lakini sio kwenye tatizo la Tairi,,,ni kwenye kona inakua nyepesi sana tena ukiwa kwenye mchanga ndio inakutupa unajiona sitosahau Dodoma na njia ya kinyerezi kutokea Mbezi mwisho!
 
kuna siku niliendesha kwenda lindi,kuna strecht ina kibao cha max speed 120km/hr. au nilishatoka tanzania bila kujijua!!
Mh,kwa sheria zetu sijui kama kuna kibao kinachoelekeza hivyo Tanzania. Utakua ulishafika Tasmania!
 
kha humu jf kuna vifaa.....hili ngarangara mwenge posta lingenitoa jasho wewe uetoka nalo wapi?!! kasumulu ndio mkoa gani.
Kasumulu ni Kyela. Kwenye mpaka wa Tanzania na Malawi.
 

Maranyingi matairi huwa hayachomoki mfumo wa boljoint haipo poa. Kwa kawaida na kwa gari zingine hizo boljoint zinapofikia wakati hazifai huanza kapiga kelele lkn kwa tabia ya hizi Prado zinapofikia hatua boljoint kuchoka huwa zinachomoka ktk kiunganishi cha hub ambacho ndo kiungo kikuu kati tairi na mfumo mzima.

Pia hiyo tabia ipo ktk Gx90(Baloon) car. Jaribu kuchunguza utagundua baloon nyingi is the same part ya huo mfumo na Prado.
 
Reactions: Cyb
Ahsante mkuu kwa ufafanuzi huo.
 
Nilikuwa nalo likanichomokea tairi mara mbili ila sikupata madhara namshukuru Mungu. Niliuzilia mbali wasukuma wanahangaika nalo Mwanza huko. Nissan expensive to maintain but iko mwake. L/C vx nazo nzuri sana. Toyota sijui kuna hujuma au ni kukosea tuu.
 


Last May I saw one along Makongo Juu road having the same problem. I did confirm what I have been hearing around for quite some time.
 
Hakika Gx 100 shida ni ball joint zina zinguwa sanaa sijui kwanini

Yaweza kuwa uzito wa mashine na gear box kwa njia zetu hizi madongo kuinama zinazidiwa hizi ball joints
 
Na mie niliwahi sikia Isuzu journey zina shida ya break


Sent from my iPhone using JamiiForums app

Sijui ni master, pistons au rubber ila linaweza kuzingua tu ukapeleka pedal holaa!! Ukapeleka tena likashika na kuachia ya tatu ikakubali au ukapeleka moja humohumo ikakubali!!!!!!

Sio ya kuamini saaaana! !!!!
 
Toyota sijui kuna hujuma au ni kukosea tuu.

Ndugu, sio hujuma. Ni poor design kutoka kiwandani. Miaka michache iliyopita nadhani ulisikia kwamba Toyota walirejesha kiwandani magari yao aina ya Prius na Rav 4 kwa sababu zilikosewa mifumo ya breki na accelerator. Sasa hizi prado nadhani zilikosewa kwenye 'hub' nzio sababu zinazingua. Ni tatizo la kiwanda.
 
Hapa kijiweni kwetu mwaka juzi mmoja alikuwa anakwenda huko mkoani arusha kwa ajili ya sendoff;
lilichomoka tairi za mbele wakaishia pale pale zaidi wa watu wanne wa familia moja;

Haya magari mmmh;
 
Wanaongelea yale madude ya 2002 kushuka chini hao..

Kitu hicho hapo chini ndio chenyewe
 
nishapata ajari na prado old model, hizi gari zinahitaji umakini sana hasa ukiwa speed, maana ukiilaza upande mmoja, ukaamishia upande wa pili, unaweza jikuta umehama njia, instability ni ndogo sana. Though prado za kuanzia 2007 barabarani zipo stable compared na zile za zamani.
 

hapo naona wanasema 'ADVISORY' speed limit ni 100km/hr outside built up area.....haina maana kuwa max 100 ila 100km/hr ndio inashauriwa sasa ukienda 120/130 sio kosa.....tufahamishane hio 'advisory' wana maana gani

kwenye autobahn hamna speed limit lakini sometime ukipiga 250km/hr polisi ana uwezo wa kukusimamisha na kukushauri hio speed sio salama kwako.
 
Reactions: Cyb
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…