Toyota Prado, 'The Most Dangerous Vehicle' Seen

Toyota Prado, 'The Most Dangerous Vehicle' Seen

Nilichogundua ni kwamba magari yanayotumia sport rimu zina tabia ya kujifungua taratibu,hivyo ni muhimu kujaribu kukaza matairi yako mara kwa mara
sina uzoefu na prado hivyo sijui kama matairi yanachomoka kwa kujifungua tairi au ni ekseli nzima inachomoka.
Naomba ufafanuzi zaidi ili tuchukue tahadhari kikamilifu.
Kuna siku moja ilinitokea kwenye kubadili tairi, fundi alikuta tairi moja nati hazijakaza kabisa nikabaki kuduwaa.
 
Nilikuwa nalo likanichomokea tairi mara mbili ila sikupata madhara namshukuru Mungu. Niliuzilia mbali wasukuma wanahangaika nalo Mwanza huko. Nissan expensive to maintain but iko mwake. L/C vx nazo nzuri sana. Toyota sijui kuna hujuma au ni kukosea tuu.
mkuu samahani nina shida na wewe private message
 
Hivi kwa nini haya Ma Prado yanaongoza kuchomoka tairi la mbele?

Nimeshakutana na jamaa kama wanne hivi katika nyakati tofauti tofauti wakiwa wamechomokewa na tairi za mbele. Nikawaza kama wangepatwa na maswahibu hayo katika speed kubwa, si ingekuwa ni balaaa?

Jamani mnaomiliki haya magari kwa usalama wenu, hakikisheni mmebadilisha vikorokoro vinavyoshikilia matairi ya mbele ili kukwepa balaa hili!
Gari salama ya Mjapan ni Nissan
 
naona mnaisema prado ya wachagga.
1998-TOYOTA-LANDCRUISER-side.jpg
 
Kuna siku moja ilinitokea kwenye kubadili tairi, fundi alikuta tairi moja nati hazijakaza kabisa nikabaki kuduwaa.
Duuh hivi huwa mnajibuje comment bila kuangalia ni ya mwaka gani na aliyecomment last activity yake ni lini, yani unajibu comment ya 2014 (miaka tisa nyuma) na mwenye hiyo comment mwenyewe last activity yake ni 2018 (miaka mitano nyuma), au mwenzetu umerudi back in time
 
Duuh hivi huwa mnajibuje comment bila kuangalia ni ya mwaka gani na aliyecomment last activity yake ni lini, yani unajibu comment ya 2014 (miaka tisa nyuma) na mwenye hiyo comment mwenyewe last activity yake ni 2018 (miaka mitano nyuma), au mwenzetu umerudi back in time
😀 😀 mbele kwa mbele
 
Duuh hivi huwa mnajibuje comment bila kuangalia ni ya mwaka gani na aliyecomment last activity yake ni lini, yani unajibu comment ya 2014 (miaka tisa nyuma) na mwenye hiyo comment mwenyewe last activity yake ni 2018 (miaka mitano nyuma), au mwenzetu umerudi back in time
Sijakuelewa yaani, comment yangu inahusiana nini na mwaka wa aliyecomment last activity?
 
Hivi kwa nini haya Ma Prado yanaongoza kuchomoka tairi la mbele?

Nimeshakutana na jamaa kama wanne hivi katika nyakati tofauti tofauti wakiwa wamechomokewa na tairi za mbele. Nikawaza kama wangepatwa na maswahibu hayo katika speed kubwa, si ingekuwa ni balaaa?

Jamani mnaomiliki haya magari kwa usalama wenu, hakikisheni mmebadilisha vikorokoro vinavyoshikilia matairi ya mbele ili kukwepa balaa hili!


Hawafanyi service na kuwa makini
 
Prado za nyuma kidogo sio hizi Prado Packet ....za nyuma kidogo .....tuweke picha
 
2008 kushuka chini

Haya yameshuka kwa sababu tu ni za zamani kidogo. Na ukifanya preventive maintenance wala hayasumbui sana. Kinachotakiwa tu ni kujua wakati sahihi wa kubadilisha vitu kabla haijakuumbua barabarani
 
Back
Top Bottom