zigi 01
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 317
- 170
Napenda kujua vizuri utofauti wa haya magari new model iko vipi? Na old model iko vipi
1.kimuonekano
2.ukubwa wa engine
3.mwaka wa kutengenezwa
4.wastani wa bei kwa hapa Tanzania
Napenda kujua ili nifanye uchaguzi sahihi , nahitaji kuinunua mwezi ujao na sina uzoefu nazo sana
1.kimuonekano
2.ukubwa wa engine
3.mwaka wa kutengenezwa
4.wastani wa bei kwa hapa Tanzania
Napenda kujua ili nifanye uchaguzi sahihi , nahitaji kuinunua mwezi ujao na sina uzoefu nazo sana