Dadio
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 359
- 42
Wandugu habari, naombeni mnipe ushauri juu ya hayo magari apo juu kabla sjanunua. ushauri wenu nautegemea sana katika kutafuta gari ya kuazia maisha yaani gari yangu ya kwanza. Hata kama kuna jingine nje ya hapo ambalo ni nzuri kwa Mtanzania wa kipato cha chini na mazingira ya kibongo basi mtanishauri pia.
Shukrani