all in all Toyota cami is the best among all mentioned sema bei yake ipo juu kimtindo ila upande ma mafuta ni cc1290,ipo juu na ni ngumu xana,ist ni gari za mikocheni, masaki na kwingineko ipo chini sana hutakuwa confortable na hali ya barabara zetu.
Pia ni fupi kwa maana ya kwamba ukitaka kusafiri utakuwa unarushwa rusha kama kitenesi but n way natumia raum ya zamani ni ngumu cc1490 ukilinganisha na raumu ya sasa kwani nayo iko chini na ni mayai zaid!probox sio gari ya kudumu muda mrefu na ni mayai japo zipo mpaka za cc990.
Me nataka niuze raum yangu ninunue cami!ila nimeishi vizuri na raum bila matatizo nina miaka miwili kazi yangu huwa ni kumwaga engine oil,na kubadili oil filter tu.