profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,595
- 3,416
Raum ni gari nzuri sana ina engine ngumu na ina muonekano mzuri, mimi sipendi tu milango yake basiWadau, naomba kujua, kwa nini toyota raum 1490cc watu hawazichangamkii sana? zina madhaifu gani?
Vipi kuhusu
1. Uimara na uvumilivu rafu rodi
2. Ulaji wa mafuta
3. Upatikanaji na bei ya spare parts.
4. Kuilinganisha na allex, runx ni sawa?
je kati ya model hizi ipi nzuri kwa ulaji kidogo wa mafuta?View attachment 2518705
Ipi old model au new model?Raum ni gari nzuri sana ina engine nfumu na inamwonekano mzuri, mm sipendi tu milango yake basi
toyota LUMIO ni ipi hiyo mzee?Laumu gari nzur sana ila ila haina nyota ya kupendwa na watu wengi.lakini ukilinganisha ulaji wa mafuta ni sawa na IST ,LUMIO,PORTE,ALLION,VITZ nyingne nmesahau .engine ni moja lakini zimefungwa katika maumbile tofauti ya magari.lakin toyota LUMIO ni habari ya mjini kwa sisi wenye kipato cha kati
Wadau, naomba kujua, kwanini toyota raum 1490cc watu hawazichangamkii sana? zina madhaifu gani?
Vipi kuhusu
1. Uimara na uvumilivu rafu rodi
2. Ulaji wa mafuta
3. Upatikanaji na bei ya spare parts.
4. Kuilinganisha na allex, runx ni sawa?
je kati ya model hizi ipi nzuri kwa ulaji kidogo wa mafuta?View attachment 2518705
Jazia jazia mkuu, old model au new model, inatumiaje mafuta, vipi safari ndefu, mfano Dar to kigoma,body lake vipi kulegea nkGari zuri sana, hulijui tu
jazia jazia mkuu,old model au new model,inatumiaje mafuta,vipi safari ndefu,mfano dar to kigoma,body lake vipi kulegea nk
Rumion ni mnyama hatari inatembea sanaMm bora ninunue rumion ila raum labda nipewe bure
Hamna gari inayoitwa laumu mkuuLaumu gari nzur sana ila ila haina nyota ya kupendwa na watu wengi.lakini ukilinganisha ulaji wa mafuta ni sawa na IST ,LUMIO,PORTE,ALLION,VITZ nyingne nmesahau .engine ni moja lakini zimefungwa katika maumbile tofauti ya magari.lakin toyota LUMIO ni habari ya mjini kwa sisi wenye kipato cha kati
Thread closed✍️Tatizo ni milango kama ya hiace
Mm ya kwangu Bado inafunguka vizuri...nangojea hyo siku ya kuanza kusumbuaRaum ni gari nzuri sana ina engine ngumu na ina muonekano mzuri, mimi sipendi tu milango yake basi
😂toyota LUMIO ni ipi hiyo mzee?