Habari wakuu!!!
Mwenye kujua mazuri na mabaya juu ya hii gari hasa ya mwaka 2006 au 2007 aweke hapa tafadhali, baada ya kutumia gari ya chini ya kwa mda mrefu nataka kuhamia sasa kwenye gari ya juu kidogo (SUV) na katika pita pita zangu nimependezewa na hii generation hii ya toyota rav 4. Sasa mdau yeyote ambaye amekwisha wahi tumia hii kitu atueleze mawili au matatu kuhusu hii gari
Natanguliza shukrani.
Mwenye kujua mazuri na mabaya juu ya hii gari hasa ya mwaka 2006 au 2007 aweke hapa tafadhali, baada ya kutumia gari ya chini ya kwa mda mrefu nataka kuhamia sasa kwenye gari ya juu kidogo (SUV) na katika pita pita zangu nimependezewa na hii generation hii ya toyota rav 4. Sasa mdau yeyote ambaye amekwisha wahi tumia hii kitu atueleze mawili au matatu kuhusu hii gari
Natanguliza shukrani.