Sasa fanya hivi nikuuzie 7.5 M tshs.6.5m ipo
Sasa fanya hivi nikuuzie 7.5 M tshs.
Lipa 7 M cash. 500K utamalizia siku yoyote utakayopenda.
Mbona picha chache mkuu, tuma basi hata picha ya mbele tuone!
nikupe RAUM DRX unipe Rush nikuongezee na laki tano
Sawa ndugu ila hapa shida ni pesa ... pesa ndo mchawi.. au kama vipi kopesha milion 7 ubaki na rush..
Mkuu mbona pale juu umesema no negotiation?Sasa fanya hivi nikuuzie 7.5 M tshs.
Lipa 7 M cash. 500K utamalizia siku yoyote utakayopenda.
Ni kweli ndugu ila ndo changamoto zimezidi wateja wanaogopa manual vehicles so haina namna ni kupunguza tu beiMkuu mbona pale juu umesema no negotiation?
Ni kweli ndugu ila ndo changamoto zimezidi wateja wanaogopa manual vehicles so haina namna ni kupunguza tu bei
Mimi napenda sana Manual, sema mpunga ndo shida.Ndugu tumalize mzizi wa fitina ongeza 500k , njoo uchukue mashine ya kazi..7M cash.
Hii gari ukiingia nayo arusha au mwanza mzee unauza zaidi ya hiyo 7 kule wanapenda manual ila hapa DSM ni shida. Wanaume wa Dsm bhana😅😅
Usijali mungu atakuzidishia ndoto zako zitatimia siku moja zidisha juhudi kwenye misheee zako. Nehemia 4:6Mimi napenda sana Manual, sema mpunga ndo shida.