Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
NISSAN KLUGER??? Au TOYOTA KLUGER! hizi pia zipo zenye engine ya 2AZ VVTI unywaji ni sawa na harrier zenye engine ya 2AZ (2.4cc) VVTI
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi zinakuwa na engine za 5S na sio vvt-i ni ya kizamani hivyo hii kidogo inakunywa kulinganisha na zenye 2AZ vvt-i kitu kingine cha kuangalia zipo pia zenye 4 cylinder lkn ni 4WD full-time hizi pia zinakunywa na zinakuwa nzito kiasi fulani
Ahsante mkuu naona umenifungua ...5s vs 2AZ ,na 2W vs 4W kwa maelezo hayo 2AZ 2W ndo safi and very economical.Hizi zinakuwa na engine za 5S na sio vvt-i ni ya kizamani hivyo hii kidogo inakunywa kulinganisha na zenye 2AZ vvt-i kitu kingine cha kuangalia zipo pia zenye 4 cylinder lkn ni 4WD full-time hizi pia zinakunywa na zinakuwa nzito kiasi fulani
Sent using Jamii Forums mobile app
maelezo murua kabisa mkuu. Ila kwa nyongeza RAV4 za mwaka 2006 na kuendelea (sina uhakika na kama za mwaka 2005 zina hii feature) 4WD yake ni automatic. ukibonyeza kitufe kuweka on itakuwa on mpaka gari ikifika spidi ya km arobaini kwa saa baada ya hapo 4WD inakuwa disenganged automatically (inajizima yenyewe) bila ya wewe kufanya chochote. Pia 4WD itakuwa disengaged kama ukikanyaga breki kabla ya hiyo spidi 40 kwahiyo ulaji wa mafuta kwa sababu ya 4WD kwa model hizi inakuwa sio ishuHizi zinakuwa na engine za 5S na sio vvt-i ni ya kizamani hivyo hii kidogo inakunywa kulinganisha na zenye 2AZ vvt-i kitu kingine cha kuangalia zipo pia zenye 4 cylinder lkn ni 4WD full-time hizi pia zinakunywa na zinakuwa nzito kiasi fulani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu vip kuhusu vvt-i.
Nimeambiwa vvt-i 2AZ zinakunywa sana mafuta nataka kuinunua kwa safari za mbali na nje ya Nchi mara kwa mara naomba ushauri kabla sijanunua kwa wenye uzoefu na gari hizi.mkuu poa kuhusu vvt-i
Nimeambiwa vvt-i 2AZ zinakunywa sana mafuta nataka kuinunua kwa safari za mbali na nje ya Nchi mara kwa mara naomba ushauri kabla sijanunua kwa wenye uzoefu na gari hizi.
Enhe Mzee baba leta mrejesho hapa. So far gari unaionaje na consumption yake ikoje?Habarini wakuu finally ile gari niliyokuwa naomba ushauri toyota harrier niliipokea tarehe 29.11.2017.Nashakuru sana kwa ushauri wenu.
Kwa kuongezea tu, 2.4L ni inline 4 ambayo iko coded kama 2A-FE na hio ya 3.0L ni V6 ilio Coded as 1MZ-FE2.4L ni v4 engine na 3.0L ni v6 engine ndio zipo hivyo
Hivi cruiser luxury ina 1 HZ au 1 HDT mkuuPerformance ya six na four zipo tofauti
Wengi wetu wakiona HARRIER wanajua ndio hio hio lkn machine zinatofautiana
Hawa wajapan wajanja saana walileta landcruiser hardtop engine ni 1HZ(best engine hio) hapo hapo zikaja CRUISER VX FULL OPTION&LUXURY lkn zote ENGINE 1HZ
Sent from Calculator Phone vesion007
Naona watu wengi wanahofia sana gari yenye 4WD kwamba inatumia mafuta mengi sijui watu wanaishije ila gari isio na 4WD ina shida sana ukinasa sehemu umenasa ila inapendeza 4WD ikiwa kwenye gari ilioinuka juu mfano Prado, Surf, Land Cruiser ila 4WD ya kwenye Harrier, Rav 4 ni kujichosha tu