Toyota swift.

Toyota swift.

Thelionden

Senior Member
Joined
Apr 7, 2018
Posts
165
Reaction score
160
Wakuu habarini za kazi katika pitapita yangu nimekuwa nikikutana sana na hizi gari( Toyota swift) na kwa kweli kwa hali ya maisha iliyo ya kibabe nami nimevutiwa sana kuwa na haka ka mnyama. Nina omba kujua ubora wa hizi gari kwenye safari ndefu kama dar - mwanza ukilinganisha na Toyota cami na terios kid.

Natanguliza shukrani.
 
Shukrani mkuu ni imara kdg kwenye ruti ndefu
 
India vinapatikana kama Maruti Swift. Vingi kinyama.
 
Wakuu habarini za kazi katika pitapita yangu nimekuwa nikikutana sana na hizi gari( Toyota swift) na kwa kweli kwa hali ya maisha iliyo ya kibabe nami nimevutiwa sana kuwa na haka ka mnyama. Nina omba kujua ubora wa hizi gari kwenye safari ndefu kama dar - mwanza ukilinganisha na Toyota cami na terios kid.

Natanguliza shukrani.
Kamanda ni suzuki hiyo siyo brand ya Toyota
 
Suzuki swift ni nzuri ninayo haisumbuisumbui pia consumption yake imetulia
Yangu ni cc 1300 napiga rout sana Arusha to kigoma
Kigoma to kyela
Kyela to dar
Hakajanisumbua kwakweli
 
Suzuki swift ni nzuri ninayo haisumbuisumbui pia consumption yake imetulia
Yangu ni cc 1300 napiga rout sana Arusha to kigoma
Kigoma to kyela
Kyela to dar
Hakajanisumbua kwakweli
Shukrani sana mkuu vip kuhusu stability yake kwa njia
 
Back
Top Bottom