TOYOTA VEROSSA

TOYOTA VEROSSA

roja24

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2012
Posts
634
Reaction score
410
Jamani wanajamvi Mambo vipi.
Msaada, ninakigari changu Aina ya VEROSSA kilikuwa kinazingua mis mis, nkakipeleka KWA gereji, wakamwaga Hydrolic na kuweka nyingine lakini haikusaidia, Mara ikagoma kabisa gia kuingia sio kwenda mbele Wala kwenda reverse haitembei kabisa.
Tatizo ni gia box au engine!?
Je nibadilishe gia box mpya!?
Ushauri please
 
Jamani wanajamvi Mambo vipi.
Msaada, ninakigari changu Aina ya VEROSSA kilikuwa kinazingua mis mis, nkakipeleka KWA gereji, wakamwaga Hydrolic na kuweka nyingine lakini haikusaidia, Mara ikagoma kabisa gia kuingia sio kwenda mbele Wala kwenda reverse haitembei kabisa.
Tatizo ni gia box au engine!?
Je nibadilishe gia box mpya!?
Ushauri please
Kama gari inawaka basi sio engine itakua ni gearbox

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani wanajamvi Mambo vipi.
Msaada, ninakigari changu Aina ya VEROSSA kilikuwa kinazingua mis mis, nkakipeleka KWA gereji, wakamwaga Hydrolic na kuweka nyingine lakini haikusaidia, Mara ikagoma kabisa gia kuingia sio kwenda mbele Wala kwenda reverse haitembei kabisa.
Tatizo ni gia box au engine!?
Je nibadilishe gia box mpya!?
Ushauri please
Nakumbuka kesi kama hyo niliwahi kuiona kwenye spacio new model. Gari ilikuwa inawaka kama kawaida, ila ukiweka gear ya mbele au nyuma hata kusogea haisogei, mara ya mwanzo mafundi wa piga ramli wakamwambia pamp imekufa, wakaitoa nakuweka mpya, ikatembea siku chache ikazingua tena.

Baada ya hilo alipeleka gareji inayoeleweka na tatizo likaonekana ni airmass flow sensor na sensor moja kwenye injection. Baada ya kubadilisha hvyo vitu gari ikawa mpya, mpaka leo haijawahi kusumbua tena. Japo awali alianza kuambia gear box itakuwa na shida.

Ushauri wangu nenda kwenye gereji zinazoeleweka gari ipimwe utapata ufumbuz wa uhakika, vinginevyo utanunulishwa vitu visivyo na ulazima bure kabisa.
 
Nakumbuka kesi kama hyo niliwahi kuiona kwenye spacio new model. Gari ilikuwa inawaka kama kawaida, ila ukiweka gear ya mbele au nyuma hata kusogea haisogei, mara ya mwanzo mafundi wa piga ramli wakamwambia pamp imekufa, wakaitoa nakuweka mpya, ikatembea siku chache ikazingua tena.

Baada ya hilo alipeleka gareji inayoeleweka na tatizo likaonekana ni airmass flow sensor na sensor moja kwenye injection. Baada ya kubadilisha hvyo vitu gari ikawa mpya, mpaka leo haijawahi kusumbua tena. Japo awali alianza kuambia gear box itakuwa na shida.

Ushauri wangu nenda kwenye gereji zinazoeleweka gari ipimwe utapata ufumbuz wa uhakika, vinginevyo utanunulishwa vitu visivyo na ulazima bure kabisa.
Asante KWA ushauri RasuliMo.
Ubarikiwe sana
 
Jamani wanajamvi Mambo vipi.
Msaada, ninakigari changu Aina ya VEROSSA kilikuwa kinazingua mis mis, nkakipeleka KWA gereji, wakamwaga Hydrolic na kuweka nyingine lakini haikusaidia, Mara ikagoma kabisa gia kuingia sio kwenda mbele Wala kwenda reverse haitembei kabisa.
Tatizo ni gia box au engine!?
Je nibadilishe gia box mpya!?
Ushauri please
Inasikitisha lakini nimecheka kwa sauti..[emoji28][emoji28]
Hii ndiyo Tanzania, na mafundi wetu ndiyo hao watanzania wenzetu..

Injini ina miss fundi anabadilisha hydeolic kwa gear box,? kweli..?

Mafundi saa nyingine muwe serious..

Naomba niseme hivi..

1...Baada ya kubadilisha hydrolic inawezekana fundi kaweka hydrolic ambayo si compatible na gear box yako...kwa sababu watu wanadanganyana kuwa Toyota hazizingui huwa zinawekwa hata mafuta ya Korie....kitu ambacho si kweli..

2..Pili, inawezekana gearbox yako ilishafikia mwisho wa maisha, automatic gearbox huwa zina clutch nyingi sana..zikishachoka huwa zinasagika na baadhi ya particles zake zinachanganyika kwenye hydrolic, hapo gari linaweza kubadilisha gear mpaka pale gear box itakapojifia yenyewe...gear box yenye hali hii ukiweka ATF mpya tu, kwisha habari yake kwa sabau ATF ya zamani itamwagwa ikiwa na zile particles zote za clutch.....najua watu watabisha ila siwalazimishi kuamini..(Ukuona halii hii inatokea jua wazi hukuitunza gear box yako au ulikuwa huifanyii service kwa wakati na kwa kutumia geanuine ATF.

3..Tatu, yawezekana solenoid inayotumika ku"shift gears imepata hitilafu....

4....Yawezekana tu wakati fundi anabadilisha ATF alichokonoa may be waya fulani hivyo ikute umeme haufiki kwa gear box yote..

Tuombe Mungu gear box yako iwe imekumbwa na tatizo namba 1 hapo juu B kwa sababu ni rahisi kufix,
Tatizo namba mbili ni gharama sana bora ununue gear box used

Tatizo la miss kwenye engine linaweza kusababishwa na..
1...spark plug mbovu
2... ignition coil mbovu au waya za kuoeleka umeme kwenye coil/plug
3...injector mbovu au iliyoziba
4...mojawapo ya intake valve ikute haifunguki vizuri..
5... lakini pia MAF sensor ikaguliwe vizuri....kadude kana mbwembwe haka kakizingua

Na vijisababu vingine kibaaaoooo

Fanya diagnosis.....Huenda huyo kenge wakati anabadilisha ATF alichokonoa nyaya za solenoid

Tafuta fundi mjuzi atakutatulia shida zote na gari litatembea
 
Inasikitisha lakini nimecheka kwa sauti..[emoji28][emoji28]
Hii ndiyo Tanzania, na mafundi wetu ndiyo hao watanzania wenzetu..

Injini ina miss fundi anabadilisha hydeolic kwa gear box,? kweli..?

Mafundi saa nyingine muwe serious..

Naomba niseme hivi..

1...Baada ya kubadilisha hydrolic inawezekana fundi kaweka hydrolic ambayo si compatible na gear box yako...kwa sababu watu wanadanganyana kuwa Toyota hazizingui huwa zinawekwa hata mafuta ya Korie....kitu ambacho si kweli..

2..Pili, inawezekana gearbox yako ilishafikia mwisho wa maisha, automatic gearbox huwa zina clutch nyingi sana..zikishachoka huwa zinasagika na baadhi ya particles zake zinachanganyika kwenye hydrolic, hapo gari linaweza kubadilisha gear mpaka pale gear box itakapojifia yenyewe...gear box yenye hali hii ukiweka ATF mpya tu, kwisha habari yake kwa sabau ATF ya zamani itamwagwa ikiwa na zile particles zote za clutch.....najua watu watabisha ila siwalazimishi kuamini..(Ukuona halii hii inatokea jua wazi hukuitunza gear box yako au ulikuwa huifanyii service kwa wakati na kwa kutumia geanuine ATF.

3..Tatu, yawezekana solenoid inayotumika ku"shift gears imepata hitilafu....

4....Yawezekana tu wakati fundi anabadilisha ATF alichokonoa may be waya fulani hivyo ikute umeme haufiki kwa gear box yote..

Tuombe Mungu gear box yako iwe imekumbwa na tatizo namba 1 hapo juu B kwa sababu ni rahisi kufix,
Tatizo namba mbili ni gharama sana bora ununue gear box used

Tatizo la miss kwenye engine linaweza kusababishwa na..
1...spark plug mbovu
2... ignition coil mbovu au waya za kuoeleka umeme kwenye coil/plug
3...injector mbovu au iliyoziba
4...mojawapo ya intake valve ikute haifunguki vizuri..
5... lakini pia MAF sensor ikaguliwe vizuri....kadude kana mbwembwe haka kakizingua

Na vijisababu vingine kibaaaoooo

Fanya diagnosis.....Huenda huyo kenge wakati anabadilisha ATF alichokonoa nyaya za solenoid

Tafuta fundi mjuzi atakutatulia shida zote na gari litatembea
Aisee nashukuru, Sana ubarikiwe
 
Inasikitisha lakini nimecheka kwa sauti..[emoji28][emoji28]
Hii ndiyo Tanzania, na mafundi wetu ndiyo hao watanzania wenzetu..

Injini ina miss fundi anabadilisha hydeolic kwa gear box,? kweli..?

Mafundi saa nyingine muwe serious..

Naomba niseme hivi..

1...Baada ya kubadilisha hydrolic inawezekana fundi kaweka hydrolic ambayo si compatible na gear box yako...kwa sababu watu wanadanganyana kuwa Toyota hazizingui huwa zinawekwa hata mafuta ya Korie....kitu ambacho si kweli..

2..Pili, inawezekana gearbox yako ilishafikia mwisho wa maisha, automatic gearbox huwa zina clutch nyingi sana..zikishachoka huwa zinasagika na baadhi ya particles zake zinachanganyika kwenye hydrolic, hapo gari linaweza kubadilisha gear mpaka pale gear box itakapojifia yenyewe...gear box yenye hali hii ukiweka ATF mpya tu, kwisha habari yake kwa sabau ATF ya zamani itamwagwa ikiwa na zile particles zote za clutch.....najua watu watabisha ila siwalazimishi kuamini..(Ukuona halii hii inatokea jua wazi hukuitunza gear box yako au ulikuwa huifanyii service kwa wakati na kwa kutumia geanuine ATF.

3..Tatu, yawezekana solenoid inayotumika ku"shift gears imepata hitilafu....

4....Yawezekana tu wakati fundi anabadilisha ATF alichokonoa may be waya fulani hivyo ikute umeme haufiki kwa gear box yote..

Tuombe Mungu gear box yako iwe imekumbwa na tatizo namba 1 hapo juu B kwa sababu ni rahisi kufix,
Tatizo namba mbili ni gharama sana bora ununue gear box used

Tatizo la miss kwenye engine linaweza kusababishwa na..
1...spark plug mbovu
2... ignition coil mbovu au waya za kuoeleka umeme kwenye coil/plug
3...injector mbovu au iliyoziba
4...mojawapo ya intake valve ikute haifunguki vizuri..
5... lakini pia MAF sensor ikaguliwe vizuri....kadude kana mbwembwe haka kakizingua

Na vijisababu vingine kibaaaoooo

Fanya diagnosis.....Huenda huyo kenge wakati anabadilisha ATF alichokonoa nyaya za solenoid

Tafuta fundi mjuzi atakutatulia shida zote na gari litatembea

UZI CLOSED.
 
Inasikitisha lakini nimecheka kwa sauti..[emoji28][emoji28]
Hii ndiyo Tanzania, na mafundi wetu ndiyo hao watanzania wenzetu..

Injini ina miss fundi anabadilisha hydeolic kwa gear box,? kweli..?

Mafundi saa nyingine muwe serious..

Naomba niseme hivi..

1...Baada ya kubadilisha hydrolic inawezekana fundi kaweka hydrolic ambayo si compatible na gear box yako...kwa sababu watu wanadanganyana kuwa Toyota hazizingui huwa zinawekwa hata mafuta ya Korie....kitu ambacho si kweli..

2..Pili, inawezekana gearbox yako ilishafikia mwisho wa maisha, automatic gearbox huwa zina clutch nyingi sana..zikishachoka huwa zinasagika na baadhi ya particles zake zinachanganyika kwenye hydrolic, hapo gari linaweza kubadilisha gear mpaka pale gear box itakapojifia yenyewe...gear box yenye hali hii ukiweka ATF mpya tu, kwisha habari yake kwa sabau ATF ya zamani itamwagwa ikiwa na zile particles zote za clutch.....najua watu watabisha ila siwalazimishi kuamini..(Ukuona halii hii inatokea jua wazi hukuitunza gear box yako au ulikuwa huifanyii service kwa wakati na kwa kutumia geanuine ATF.

3..Tatu, yawezekana solenoid inayotumika ku"shift gears imepata hitilafu....

4....Yawezekana tu wakati fundi anabadilisha ATF alichokonoa may be waya fulani hivyo ikute umeme haufiki kwa gear box yote..

Tuombe Mungu gear box yako iwe imekumbwa na tatizo namba 1 hapo juu B kwa sababu ni rahisi kufix,
Tatizo namba mbili ni gharama sana bora ununue gear box used

Tatizo la miss kwenye engine linaweza kusababishwa na..
1...spark plug mbovu
2... ignition coil mbovu au waya za kuoeleka umeme kwenye coil/plug
3...injector mbovu au iliyoziba
4...mojawapo ya intake valve ikute haifunguki vizuri..
5... lakini pia MAF sensor ikaguliwe vizuri....kadude kana mbwembwe haka kakizingua

Na vijisababu vingine kibaaaoooo

Fanya diagnosis.....Huenda huyo kenge wakati anabadilisha ATF alichokonoa nyaya za solenoid

Tafuta fundi mjuzi atakutatulia shida zote na gari litatembea
Conclusion hii....Sisi wengine hatuna cha kuongezea hapa
 
Jamani wanajamvi Mambo vipi.
Msaada, ninakigari changu Aina ya VEROSSA kilikuwa kinazingua mis mis, nkakipeleka KWA gereji, wakamwaga Hydrolic na kuweka nyingine lakini haikusaidia, Mara ikagoma kabisa gia kuingia sio kwenda mbele Wala kwenda reverse haitembei kabisa.
Tatizo ni gia box au engine!?
Je nibadilishe gia box mpya!?
Ushauri please
Pole sana mkuu, fuata ushauri wa wadau hapo juu.

NB: Verossa sio kigari mkuu bali ni gari, ukiita kigari unatufanya sisi wenye Nissan March tujisikie wanyonge aisee!
 
Jamani wanajamvi Mambo vipi.
Msaada, ninakigari changu Aina ya VEROSSA kilikuwa kinazingua mis mis, nkakipeleka KWA gereji, wakamwaga Hydrolic na kuweka nyingine lakini haikusaidia, Mara ikagoma kabisa gia kuingia sio kwenda mbele Wala kwenda reverse haitembei kabisa.
Tatizo ni gia box au engine!?
Je nibadilishe gia box mpya!?
Ushauri please

Hapo kwa shida gearbox, Nicheck 0621 221 606. Ninaweza kuwa na solution.

Hata hiyo ishu ya misi naweza nikakutatulia.
 
Back
Top Bottom