Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,913
.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
niko wazi kueleza mkuu.Hahahahah bora umekuwa muwazi sio kama wale wanaosemaga gari yangu huku yeye mwenyewe ni dalali tu
Gari iko njema kwa kweli! Vipi kuhusu ulaji wake wa mafuta na vipengele vingine?
Haina kipengele chochote mkuu.Gari iko njema kwa kweli! Vipi kuhusu ulaji wake wa mafuta na vipengele vingine?
Kagari kamefanana na ka housegirl wangu. Kwa bei hiyo vijana washindwe wenyewe tu...
karibu sana mkuu.Kagari kamefanana na ka housegirl wangu. Kwa bei hiyo vijana wemashindwe wenyewe tu...
Kila la kheri mkuu
Ntakucheki mkuu, naanza kuweka pesa ya kununua gari mkuuBado ipo. Ukihitaji gari ya bei poa, usisite kunitafuta
Hela ya udalali ni laki 1.
Dah! Hiyo gari inakula mafuta kama jini! Yaani ukimiliki gari ya aina hii, inakulazimu uwe na Shell pembeni! 😁😁😁Gari iko njema kwa kweli! Vipi kuhusu ulaji wake wa mafuta na vipengele vingine?
Dah! Madalali wote wangekuwa na moyo mzuri kama wewe, hakika wangeiona pepo. Yaani udalali laki 1 tu! 🤔Bado ipo. Ukihitaji gari ya bei poa, usisite kunitafuta
Hela ya udalali ni laki 1.
Huyu ni bingwa mara4 [emoji28]Hahahahah bora umekuwa muwazi sio kama wale wanaosemaga gari yangu huku yeye mwenyewe ni dalali tu
hahaha umetishanjoo na fundi wako na laki 1 ya dalali
pole sana kwa ulichofikiria!!Usikubali utoe laki moja ndio akuunganishe na mwenye gari. If you know you know
Mi nataka ka Rush kaliko tulia. Sitaki binti yangu ateseke na bodabodaBado ipo. Ukihitaji gari ya bei poa, usisite kunitafuta
Hela ya udalali ni laki 1.
Gari mil 6 wewe unaitangaza m3 😂😂pole sana kwa ulichofikiria!!