Son from Village
Member
- Apr 11, 2023
- 18
- 9
Dar es SalamaUpo mkoa gani?
Utapata hiyo gari ila vumilia Kwa siku kadhaa maana sikuhizi hizi voltz sio nyingi barabaraniDar es Salama
mbona zipo nyingi tu hizo.Inahitajika gari Toyota Voltz iliyopo kwenye hari nzuri.
Tuma picha na bei unayouzia
OkUtapata hiyo gari ila vumilia Kwa siku kadhaa maana sikuhizi hizi voltz sio nyingi barabarani
Yaambona zipo nyingi tu hizo.
Sawaunapata
bado hujapata?Sawa
Badobado hujapata?
ebu naomba namba zako pmBado
0623587748ebu naomba namba zako pm
poa0623587748
"hari" ndiyo nini?Inahitajika gari Toyota Voltz iliyopo kwenye hari nzuri.
Tuma picha na bei unayouzia
Agent apo dar ata kucheki
OkAgent apo dar ata kucheki
SawaNgoja waje kukupa muongozo...
Agent wako kiboko, hatahajui gari anauza bei gani. Hata picha za gari anayouza atakua hana maana nimemuuliza gari yako unauza na shingapi na nitume picha toka jana amekimbia hajajibu text yangu[emoji1][emoji1][emoji1]Agent apo dar ata kucheki