Toyota wafungua kiwanda kikubwa Mombasa!

Toyota wafungua kiwanda kikubwa Mombasa!

Asee kiingereza kingi halafu ukumbafu mwingi.
Mimi nitakuelezea kwa lugha mama ya Africa(kiswahili).
Tofauti wajibu na nafasi ya kitu ktk kitu.
Ww unaelezea wajibu mm naelezea nafasi ya serikali ktk kutoa ajira.
Serikali ina nafasi yake ktk utoaji ajira zumbukuku wewe.
Hata UK inafaham hilo na inatekeleza hilo ilhali lile ni taifa la ubepari.
Tumia akili.

Duh! Uswahili mwingi na faeces tu in between your ears. In your school's, Do they train you to feign ignorance?I am embarrassed on your behalf
 
Acha mipasho ya kishosti.
Wanawake ndivyo huongea kama wewe mpumbavu usiye na hoja unayeendekeza kejeli.
Labda nikupe swali tu,Kwani ni nn maana ya ajira ???
Serikali ina nafasi gani ktk utoaji ajira ukiachana na mashirika binafsi???
Kumbe kheri ya niliyemjibu ww ni shostito wa akili kabbisa .
Duh! Uswahili mwingi na faeces tu in between your ears. In your school's, Do they train you to feign ignorance?I am embarrassed on your behalf
 
Wapi kuna unafuu wa maisha kati ya Tanzania na Kenya???
Ebu mchukue maskini wa Tanzania halafu mfananishe na Wa Kenya halafu unipe jibu.
Husikii wanachuo wakijinyonga Tanzania kuhofia ugumu wa maisha hata siku moja.
Ila nenda huko Kenya.
Wanaonufaika ni wachache waumiao wengi.
Ebu nipe jibu kwann wananchi wenzenu hujiua kisa ugumu wa maisha ??
Unemployment ni kubwa kwel..lkn kinachonishangaza ni kwamba...
Kenya population yetu ni ndogo lkn kati idadi ya matajiri na watu wa kipato cha kati tumewazidi...

Sasa jiulize tatizo liko wapi na hyo ajira yenu mnayojisifia...
Je mshahara ni kiduchu!!ama basi serikali inawaongopea...

Bila ya kusahau, vile vile mna maskini wengi kutuliko na hzo ajira zenu..
MBNA KIZUNGUMUKUTI
 
Unaelewa nn ninazungumzia??
Asee mna akili fupi ninyi!!!
Hivi ni nn maana ya kipato cha juu,cha kati na cha chini??
Ni nn maana ya kuajiri na kuajiriwa???
Kwani kila mtu ana uwezo wa kujiajiri???
Mungu awasamehe ninyi watu.
If you do not have any talents to sell or product to bring to the market then starve, nobody will miss you or your non contributing and leeching self.
 
Sidhani ni wivu, ni mtaalamu wa viwanda huyo. Kule Bongo kuna viwanda vingi sana. [emoji38]
1849697_SERIKALI_YA_VIWANDA_BONGO.jpg

Hii style kaiga toka nchi za watu.
Mbunifu sana huyu bwana.
 
Ist ntaipata kwa 7milion Tena mpyaa
Wanatengeneza haya makubwa kubwa mkuu ambayo sisi wanyonge hatuwezi kununua haya makampuni yangefanya kama south africa ingekua safi sana
 
si ni ww huyo mkuu au?😂😂

Yaani tungeweza ku empower most of youth at this minimum level, I could be more proud. This guy has a chance to grow to another level. Huyu anajitambua. Anahitaji msaada kidogo tu kusonga mbele.
 
Yaani tungeweza ku empower most of youth at this minimum level, I could be more proud. This guy has a chance to grow to another level. Huyu anajitambua. Anahitaji msaada kidogo tu kusonga mbele.
hongera zake mjasiria mazee...si mchezo, alafu vipi mkuu kale ka mchakato ka udukuzi wa it umekafikisha wapiii? 🤣 🤣 🙄
 
Soma hyo post vizuri uelewe kwanza...
Wacha kuruka ruka hapa
Wapi kuna unafuu wa maisha kati ya Tanzania na Kenya???
Ebu mchukue maskini wa Tanzania halafu mfananishe na Wa Kenya halafu unipe jibu.
Husikii wanachuo wakijinyonga Tanzania kuhofia ugumu wa maisha hata siku moja.
Ila nenda huko Kenya.
Wanaonufaika ni wachache waumiao wengi.
Ebu nipe jibu kwann wananchi wenzenu hujiua kisa ugumu wa maisha ??
 
hongera zake mjasiria mazee...si mchezo, alafu vipi mkuu kale ka mchakato ka udukuzi wa it umekafikisha wapiii? 🤣 🤣 🙄
Mambo ya IT itakuwa ni yake REDEEMER, Leader wa Praise team.
 
Wapi kuna unafuu wa maisha kati ya Tanzania na Kenya???
Ebu mchukue maskini wa Tanzania halafu mfananishe na Wa Kenya halafu unipe jibu.
Husikii wanachuo wakijinyonga Tanzania kuhofia ugumu wa maisha hata siku moja.
Ila nenda huko Kenya.
Wanaonufaika ni wachache waumiao wengi.
Ebu nipe jibu kwann wananchi wenzenu hujiua kisa ugumu wa maisha ??

Ebu mtu anikumbushe nchi gani yenye omba omba wengi ndani ya Kenya! Tanganyika/Danganyika au sio? Mbona wasile asali huko huko Tanzania!! nafuu ya Maisha ipo Tanzania my foot!! mmevamia mpaka vijiji hapa Kenya, duh!!!

Six Tanzanian beggars arrested in Kenya as more flock Makueni, Migori
By Michael Mutinda For Citizen Digital
time updated
Published on: September 14, 2019 17:23 (EAT)


Six Tanzanian beggars arrested in Kenya as more flock Makueni, Migori

In Summary
  • In 2017, Citizen TV aired an expose on beggars from Tanzania flooding Kenyan streets.
  • The report revealed that many of the beggars are lured to Kenya by able-bodied men who are the main beneficiaries.
  • The Tanzanian beggars would remain destitute despite years of donations from well-wishing Kenyans.



Six Tanzanian beggars were arrested on Friday in Makueni.
Some of the suspects were on wheelchairs but when police got to them, they rose to their feet and tried to flee.
 
Back
Top Bottom