Tozo hazina maumivu makali, Wanasiasa uchwara mnatafuta kiki za kisiasa, mnashugulika na Mwigulu kwajili ya speculation za 2030

Tozo hazina maumivu makali, Wanasiasa uchwara mnatafuta kiki za kisiasa, mnashugulika na Mwigulu kwajili ya speculation za 2030

Mwanamakunda

Member
Joined
Apr 1, 2021
Posts
19
Reaction score
91
TUACHE UNAFIKI, TOZO HIZI HAZINA MAUMIVU MAKALI, WANASIASA WALIOFELI WANATAFUTA KIKI ZA KISIASA

Nasoma vitimbwi vya wanasiasa waliostaafishwa siasa na wananchi mwaka 2020, wanadhani tumesahau uhuni wao, wanadhani wananchi ni wajinga. Kwa taarifa yenu enyi wanasiasa mnaokesha mitandaoni kuhamasisha uasi dhidi ya kodi halali za serikali tambueni kodi hizo hazijaundwa wala kuanzishwa na Dkt Mwigulu bali ni bunge tukufu linalowakilisha wananchi waliowakataeni ninyi ndio wameunda tozo hizo ili ziendelee kuipendezesha nchi.

Hoja hii mliodandia ni mtumbwi wa vibwengo imewaacha uchi muda mrefu, hata huyo mfalme aliefitinika kule hai kilimanjaro wananchi wake mwenyewe walimkataa sembuse kuwapangia watanzania wote? Watanzania walishawakataa acheni utoto kwenye mambo muhimu.

Tafuteni ajenda za kuwapeleka za kuwarudisha ulingoni lakini hii mmekwama vibaya.
 
TUACHE UNAFIKI, TOZO HIZI HAZINA MAUMIVU MAKALI, WANASIASA WALIOFELI WANATAFUTA KIKI ZA KISIASA

Nasoma vitimbwi vya wanasiasa waliostaafishwa siasa na wananchi mwaka 2020, wanadhani tumesahau uhuni wao, wanadhani wananchi ni wajinga. Kwa taarifa yenu enyi wanasiasa mnakesha mitandaoni kuhamasisha uasi dhidi ya kodi halali za serikali tambueni kodi hizo haziundwa wala kuanzishwa na Dkt Mwigulu bali ni bunge tukufu linalowakilisha wananchi waliowakataeni ninyi ndio wameunda tozo hizo ili ziendelee kuipendezesha nchi.

Hoja hii mliodandia ni mtumbwi wa vibwengo imewaacha uchi muda mrefu, hata huyo mfalme aliefitinika kule hai kilimanjaro , wananchi wake mwenyewe walimkataa sembuse kuwapangia watanzania wote? Watanzania walishawakataa acheni utoto kwenye mambo muhimu.

Tafuteni ajenda za kuwapeleka za kuwarudisha ulingoni lakini hii mmekwama vibaya.
We ni mwanasiasa
 
Matusi ya nini? Waliofeli ni waliomadarakani ambao Tozo ndio chanzo kikuu cha mapato kwa serikali.
 
Inasikitisha sana, tozo na zifutwe...

Tozo ni kwa ajili ya matumizi ya seriakli na wala siyo kwa ajili ya maendeleo...
 
TUACHE UNAFIKI, TOZO HIZI HAZINA MAUMIVU MAKALI, WANASIASA WALIOFELI WANATAFUTA KIKI ZA KISIASA

Nasoma vitimbwi vya wanasiasa waliostaafishwa siasa na wananchi mwaka 2020, wanadhani tumesahau uhuni wao, wanadhani wananchi ni wajinga. Kwa taarifa yenu enyi wanasiasa mnaokesha mitandaoni kuhamasisha uasi dhidi ya kodi halali za serikali tambueni kodi hizo hazijaundwa wala kuanzishwa na Dkt Mwigulu bali ni bunge tukufu linalowakilisha wananchi waliowakataeni ninyi ndio wameunda tozo hizo ili ziendelee kuipendezesha nchi.

Hoja hii mliodandia ni mtumbwi wa vibwengo imewaacha uchi muda mrefu, hata huyo mfalme aliefitinika kule hai kilimanjaro , wananchi wake mwenyewe walimkataa sembuse kuwapangia watanzania wote? Watanzania walishawakataa acheni utoto kwenye mambo muhimu.

Tafuteni ajenda za kuwapeleka za kuwarudisha ulingoni lakini hii mmekwama vibaya.
Fitina na zengwe ndio vinaendelea..

Inapaswa Rais ambae ndio mwenye dhamana atoke afunge mjadala sio kuogopa ogopa.
 
Mtu ukiwa CCM automatically unakua "Mpumbavu".
 
Kuna mtu ameshauri yale mawe yenye chata kwenye barabara za kwenda mkoani yakatwe Tozo pia.
 
Tatizo ni wizi wa waziwazi pasipo na aibu, angalia: Mtu aliyetoa huduma yoyote ild serikalini kabla yz kulipwa inakatwa service levy, baadae with holding, ikidumbukia benki, benki nao wanafanya yao, serikali nayo inakata eti tozo
 
Ndugu zangu hivyo ndivyo Hali Ilivyo kwa Sasa, Baada ya majuzi serikali kueleza kwa Kina namna tozo zilivyofanya kazi na kukamilisha miradi mbalimbali Kama vile ujenzi wa vituo vya Afya 234,kwa Sasa wapinzani wamechanganyikiwa na kuanza kutapa tapa

Maana Hatua hiyo imewaumbua, imewaanika na kuwafedhehesha Sana kwa wananchi ambao wanaiunga mkono serikali ya mh Rais mama Samia, maana walikuwa wanaeneza maneno ya uongo na uchonganishi kama kawaida yao kuruka na vimatukio, lakini kwa Sasa Ni Kama wamezimwa Kama mshumaa huku wananchi wakiwashangaa namna wanavyokuwa waongeaji bila utafiti Wala ushahidi

Wananchi wanauliza Inamaana Hawa wapinzani wachachee walikuwa hawaoni miradi yote hii ya Afya,Elimu,maji,umeme na Miundombinu? Wanauliza hivi hawakuona namna serikali ya mh Rais wetu mpendwa ilivyoamua kuwasaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bure mpaka kidato Cha sita? Wanauliza Inamaana hawaoni namna huduma zilivyosogezwa karibu ya wananchi waliko,

Wanasema kuwa walichoka kuona kila siku Taifa lao likiwa omba omba kwa kila kitu, wanasema hawawezi wakawa wanapokea misaada ya Kodi na tozo toka kwa walipa Kodi wa ulaya kila siku, wanauliza je siku wakiacha kutupa tutafanyaje? Wanasema je na wao wakisema hawataki kulipa tozo na Kodi itakuwaje kwa sisi wapokeaji? Wanasema katika Hili hawawezi kumsikiliza mtu katika kuijenga nchi yao kwa mikono yao wenyewe Zaid ya kumuunga mkono mh Rais,

wanasema Kama watanzania tusipoijenga nchi yetu tunataka Nani atujengee? Wanasema Nani atulipie na kugharamia huduma zetu ili sisi tutumie tu? Wanauliza Ni Taifa lipi lililowahi Kuendelea kwa kuitegemea mikopo na misaada pekeee? Wanaomba Kama Taifa Hilo lipo Basi watajiwe na kuonyeshwa hayo maendeleo yake ambayo hayajatokana na jasho la wananchi wa nchi husika
 
UNA AKILI NDOGO SANA MKUU Wapinzani weshawafafanulia Wananchi juu ya WIZI unaofanywa na hao wanaowaibia Wananchi Fedha zao kwa Kuwatoza Tozo mara mbili
Serikali imefafanua kila kitu kwa ufasaha na inaendelea kupokea maoni zaidi pale itaKapohitajika kurekebisha itafanya hivyo, lengo la serikali siyo kuwaumiza wananchi wake Bali kushirikiana na wananchi wake katika ujenzi wa Taifa letu
 
Ndugu zangu hivyo ndivyo Hali Ilivyo kwa Sasa, Baada ya majuzi serikali kueleza kwa Kina namna tozo zilivyofanya kazi na kukamilisha miradi mbalimbali Kama vile ujenzi wa vituo vya Afya 234,kwa Sasa wapinzani wamechanganyikiwa na kuanza kutapa tapa

Maana Hatua hiyo imewaumbua, imewaanika na kuwafedhehesha Sana kwa wananchi ambao wanaiunga mkono serikali ya mh Rais mama Samia, maana walikuwa wanaeneza maneno ya uongo na uchonganishi kama kawaida yao kuruka na vimatukio, lakini kwa Sasa Ni Kama wamezimwa Kama mshumaa huku wananchi wakiwashangaa namna wanavyokuwa waongeaji bila utafiti Wala ushahidi

Wananchi wanauliza Inamaana Hawa wapinzani wachachee walikuwa hawaoni miradi yote hii ya Afya,Elimu,maji,umeme na Miundombinu? Wanauliza hivi hawakuona namna serikali ya mh Rais wetu mpendwa ilivyoamua kuwasaidia watoto wa wanyonge kupata Elimu bure mpaka kidato Cha sita? Wanauliza Inamaana hawaoni namna huduma zilivyosogezwa karibu ya wananchi waliko,

Wanasema kuwa walichoka kuona kila siku Taifa lao likiwa omba omba kwa kila kitu, wanasema hawawezi wakawa wanapokea misaada ya Kodi na tozo toka kwa walipa Kodi wa ulaya kila siku, wanauliza je siku wakiacha kutupa tutafanyaje? Wanasema je na wao wakisema hawataki kulipa tozo na Kodi itakuwaje kwa sisi wapokeaji? Wanasema katika Hili hawawezi kumsikiliza mtu katika kuijenga nchi yao kwa mikono yao wenyewe Zaid ya kumuunga mkono mh Rais,

wanasema Kama watanzania tusipoijenga nchi yetu tunataka Nani atujengee? Wanasema Nani atulipie na kugharamia huduma zetu ili sisi tutumie tu? Wanauliza Ni Taifa lipi lililowahi Kuendelea kwa kuitegemea mikopo na misaada pekeee? Wanaomba Kama Taifa Hilo lipo Basi watajiwe na kuonyeshwa hayo maendeleo yake ambayo hayajatokana na jasho la wananchi wa nchi husika
Huoni kama nyongeza ya mshahara yote inachukuliwa na tozo.
 
Huoni kama nyongeza ya mshahara yote inachukuliwa na tozo.
Serikali ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani Ni sikivu na Kama ulivyosikia katika ufafanuzi wa serikali kuwa inakwenda kufanyia kazi baadhi ya maeneo, usijari serikali ya mama Ni serikali sikivu na inayotujari na kutusikiliza wananchi wake
 
Back
Top Bottom