Tozo, Miamala, Kikokotoo - Tanzania tuna Wanasheria Wasomi?

Tozo, Miamala, Kikokotoo - Tanzania tuna Wanasheria Wasomi?

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
JF team, SALAAM!

Nimeona hivi karibuni Serikali ikipitisha vitu vingi ambavyo ni mzigo kwa watanzania (matajiri kwa maskini). Nimejiuliza sana kwa hakika upitishaji wa vitu vya hovyo umeshamili sana.

= Kikokotoo kimepitishwa lkn watendewa ni pamoja na wabobezi wa masuala ya Sheria - hapa tulione taifa hili kama taifa lisilofikiria?

= Tozo zimekuja kimzahamzaha lkn mwisho wa siku zimeharalishwa na kuanza kutumika - hapa pia napata shida na wabobezi wa masuala ya Sheria - kwa nini watu wako kimya hivyo?

= Miamala ya simu, benki nayo imekuja kama utani utani lkn tayari fedha zimeanza kufyekwa - hivi kweli watanzania tumetulia as if hatuumii?

= Malipo ya nyumba kupitia malipo ya LUKU nayo imepenya huku watanzania wakiwa kimya - it's true kwamba SERIKALI imepitisha haya kwa ajili yetu makapuku?

Wanasheria fikirieni upya juu ya taalima zenu na ikiwezekana rudini upande wa wananchi. Lkn pia wananchi zindukeni.

Msakila M Kabende
Kakonko
Kigoma.
 
Mkuu, wasomi wa nchi hii hawajielewi, na ni vigeugeu kama kinyonga. Siku zote huchukuliwa na mwendo wa upepo mithili ya puto.

Hawajui kupaza sauti na kujenga hoja kinzani pindi wazulumiwapo, hawapingi kwa uwazi zaidi ya kulalama chini kwa chini, ni wanafiki na wanaojipendekeza kwa Mamlaka hata kama wanaumizwa, kwa kifupi ni wavivu wa kufikiri na wasio jitambua kabisa.
 
JF team, SALAAM!

Nimeona hivi karibuni Serikali ikipitisha vitu vingi ambavyo ni mzigo kwa watanzania (matajiri kwa maskini). Nimejiuliza sana kwa hakika upitishaji wa vitu vya hovyo umeshamili sana.

= Kikokotoo kimepitishwa lkn watendewa ni pamoja na wabobezi wa masuala ya Sheria - hapa tulione taifa hili kama taifa lisilofikiria?

= Tozo zimekuja kimzahamzaha lkn mwisho wa siku zimeharalishwa na kuanza kutumika - hapa pia napata shida na wabobezi wa masuala ya Sheria - kwa nini watu wako kimya hivyo?

= Miamala ya simu, benki nayo imekuja kama utani utani lkn tayari fedha zimeanza kufyekwa - hivi kweli watanzania tumetulia as if hatuumii?

= Malipo ya nyumba kupitia malipo ya LUKU nayo imepenya huku watanzania wakiwa kimya - it's true kwamba SERIKALI imepitisha haya kwa ajili yetu makapuku?

Wanasheria fikirieni upya juu ya taalima zenu na ikiwezekana rudini upande wa wananchi. Lkn pia wananchi zindukeni.

Msakila M Kabende
Kakonko
Kigoma.
Wanasheria wanaojitolea kuwapigania mfano Tundu Lissu wakishughulikiwa na mamlaka huwa mnaingia barabarani nanyi kuwapigania?
 
JF team, SALAAM!

Nimeona hivi karibuni Serikali ikipitisha vitu vingi ambavyo ni mzigo kwa watanzania (matajiri kwa maskini). Nimejiuliza sana kwa hakika upitishaji wa vitu vya hovyo umeshamili sana.

= Kikokotoo kimepitishwa lkn watendewa ni pamoja na wabobezi wa masuala ya Sheria - hapa tulione taifa hili kama taifa lisilofikiria?

= Tozo zimekuja kimzahamzaha lkn mwisho wa siku zimeharalishwa na kuanza kutumika - hapa pia napata shida na wabobezi wa masuala ya Sheria - kwa nini watu wako kimya hivyo?

= Miamala ya simu, benki nayo imekuja kama utani utani lkn tayari fedha zimeanza kufyekwa - hivi kweli watanzania tumetulia as if hatuumii?

= Malipo ya nyumba kupitia malipo ya LUKU nayo imepenya huku watanzania wakiwa kimya - it's true kwamba SERIKALI imepitisha haya kwa ajili yetu makapuku?

Wanasheria fikirieni upya juu ya taalima zenu na ikiwezekana rudini upande wa wananchi. Lkn pia wananchi zindukeni.

Msakila M Kabende
Kakonko
Kigoma.
Wazee wa Nchi hii hawajui Haki Zao. Wanatukanwa, Wanapuuzwa, Wanapigwa Kikokotooo Mafao Yao ya Uzeeni wamenyamaza. Watoto wao ndio wanawakandamiza Ili Wafe Mapema na Maskini.
 
JF team, SALAAM!

Nimeona hivi karibuni Serikali ikipitisha vitu vingi ambavyo ni mzigo kwa watanzania (matajiri kwa maskini). Nimejiuliza sana kwa hakika upitishaji wa vitu vya hovyo umeshamili sana.

= Kikokotoo kimepitishwa lkn watendewa ni pamoja na wabobezi wa masuala ya Sheria - hapa tulione taifa hili kama taifa lisilofikiria?

= Tozo zimekuja kimzahamzaha lkn mwisho wa siku zimeharalishwa na kuanza kutumika - hapa pia napata shida na wabobezi wa masuala ya Sheria - kwa nini watu wako kimya hivyo?

= Miamala ya simu, benki nayo imekuja kama utani utani lkn tayari fedha zimeanza kufyekwa - hivi kweli watanzania tumetulia as if hatuumii?

= Malipo ya nyumba kupitia malipo ya LUKU nayo imepenya huku watanzania wakiwa kimya - it's true kwamba SERIKALI imepitisha haya kwa ajili yetu makapuku?

Wanasheria fikirieni upya juu ya taalima zenu na ikiwezekana rudini upande wa wananchi. Lkn pia wananchi zindukeni.

Msakila M Kabende
Kakonko
Kigoma.
Kwa sababu mnachopigia kelele ni kitu genuine na Cha maana ndio maana wanawapuuza na kuwaona wajinga tuu..
 
Back
Top Bottom