Tozo, Miamala, Kikokotoo - Tanzania tuna Wanasheria Wasomi?

Tozo, Miamala, Kikokotoo - Tanzania tuna Wanasheria Wasomi?

Mwanasheria gani mwenye akili timamu ajitokeze kuwa tetea watu wasio jitambua hivi Kuna muda watu mnajitoa ufaham hata wa mambo madogo tu
Sasa hao watu watajitambua vipi kama wasipo elimishwa na hao wasomi?

Wewe bhana kubali tu Tanzania kwa sasa ina wasomi wengi wanafiki na ambao akili zao kwa sehemu kubwa zinawaza uteuzi tu ili na wenyewe waishi maisha mazuri ndani ya siasa, badala ya kutetea wanyonge.
 
Kwa sababu mnachopigia kelele ni kitu genuine na Cha maana ndio maana wanawapuuza na kuwaona wajinga tuu..
Ni sahihi huenda sisi ni wajinga - lkn wasiwasi wangu ni kuwa kundi lenu mnaosapoti hili huenda ni wapumbavu ndiyo maana kila jambo mnakuwa Yesist
 
JF team, SALAAM!

Nimeona hivi karibuni Serikali ikipitisha vitu vingi ambavyo ni mzigo kwa watanzania (matajiri kwa maskini). Nimejiuliza sana kwa hakika upitishaji wa vitu vya hovyo umeshamili sana.

= Kikokotoo kimepitishwa lkn watendewa ni pamoja na wabobezi wa masuala ya Sheria - hapa tulione taifa hili kama taifa lisilofikiria?

= Tozo zimekuja kimzahamzaha lkn mwisho wa siku zimeharalishwa na kuanza kutumika - hapa pia napata shida na wabobezi wa masuala ya Sheria - kwa nini watu wako kimya hivyo?

= Miamala ya simu, benki nayo imekuja kama utani utani lkn tayari fedha zimeanza kufyekwa - hivi kweli watanzania tumetulia as if hatuumii?

= Malipo ya nyumba kupitia malipo ya LUKU nayo imepenya huku watanzania wakiwa kimya - it's true kwamba SERIKALI imepitisha haya kwa ajili yetu makapuku?

Wanasheria fikirieni upya juu ya taalima zenu na ikiwezekana rudini upande wa wananchi. Lkn pia wananchi zindukeni.

Msakila M Kabende
Kakonko
Kigoma.

Tuko tunajadili mambo ya Simba na Yanga, hayo ya tozo hatuna muda nayo.
 
Mkuu, wasomi wa nchi hii hawajielewi, na ni vigeugeu kama kinyonga. Siku zote huchukuliwa na mwendo wa upepo mithili ya puto.

Hawajui kupaza sauti na kujenga hoja kinzani pindi wazulumiwapo, hawapingi kwa uwazi zaidi ya kulalama chini kwa chini, ni wanafiki na wanaojipendekeza kwa Mamlaka hata kama wanaumizwa, kwa kifupi ni wavivu wa kufikiri na wasio jitambua kabisa.

Kama wanasheria na wao wako kwenye mijadala ya kina kajala na Diamondi unategemea nini?
 
JF team, SALAAM!

Nimeona hivi karibuni Serikali ikipitisha vitu vingi ambavyo ni mzigo kwa watanzania (matajiri kwa maskini). Nimejiuliza sana kwa hakika upitishaji wa vitu vya hovyo umeshamili sana.

= Kikokotoo kimepitishwa lkn watendewa ni pamoja na wabobezi wa masuala ya Sheria - hapa tulione taifa hili kama taifa lisilofikiria?

= Tozo zimekuja kimzahamzaha lkn mwisho wa siku zimeharalishwa na kuanza kutumika - hapa pia napata shida na wabobezi wa masuala ya Sheria - kwa nini watu wako kimya hivyo?

= Miamala ya simu, benki nayo imekuja kama utani utani lkn tayari fedha zimeanza kufyekwa - hivi kweli watanzania tumetulia as if hatuumii?

= Malipo ya nyumba kupitia malipo ya LUKU nayo imepenya huku watanzania wakiwa kimya - it's true kwamba SERIKALI imepitisha haya kwa ajili yetu makapuku?

Wanasheria fikirieni upya juu ya taalima zenu na ikiwezekana rudini upande wa wananchi. Lkn pia wananchi zindukeni.

Msakila M Kabende
Kakonko
Kigoma.
Hii Tanzania siyo Kenya.
KIFUPI: Nadhani watakuwa wamesoma upepo, na kutumia mantiki kuwa kama waliotangulia hawakusikilizwa. Je, hizo nguvu za kusikiliza wanasheria zitatoka wapi?
Wananchi wamelalamika Sana juu ya tozo, lakini tuliambiwa kuwa wananchi wanazikubali tozo isipokuwa zipunguzwe.
Mkutano huo wa wananchi waliokuwa wanasema tumezikubali tozo ila zipunguzwe ulifanyikia wapi?
Sasahivi, mwendo ni amri kutoka juu kwenda chini kwa ajili ya kutekelezwa tu siyo kujadiliwa.
 
Hii Tanzania siyo Kenya.
KIFUPI: Nadhani watakuwa wamesoma upepo, na kutumia mantiki kuwa kama waliotangulia hawakusikilizwa. Je, hizo nguvu za kusikiliza wanasheria zitatoka wapi?
Wananchi wamelalamika Sana juu ya tozo, lakini tuliambiwa kuwa wananchi wanazikubali tozo isipokuwa zipunguzwe.
Mkutano huo wa wananchi waliokuwa wanasema tumezikubali tozo ila zipunguzwe ulifanyikia wapi?
Sasahivi, mwendo ni amri kutoka juu kwenda chini kwa ajili ya kutekelezwa tu siyo kujadiliwa.
For sure nina wasiwasi sana kuwa ukimya na utulivu wa watanzania ndiyo chanzo cha kubebeshwa mizigo
 
Tusiufiche uzi huu - wanasheria kuweni mawakili wa wananchi - barabarani kwenu yanapitishwa mambo mengi ya hovyo hovyo.
 
Tusiufiche uzi huu - wanasheria kuweni mawakili wa wananchi - barabarani kwenu yanapitishwa mambo mengi ya hovyo hovyo.
Lazima wewe utakuwa ni miongoni mwa wajinga ambao wametufikisha hapa tulipo kama Watanzania.

Tatizo tunaliona na tunalijua vizuri sana ila kwa kuwa sote ni sehemu ya tatizo tunatafuta wa kumtupia lawama.

Nchi hii tumejaaliwa mengi sana lakini kuna usemi wa wahenga, a fool and his money are soon parted!

Kwa sababu ya ujinga wetu tumeruhusu udikteta wa kikundi cha watu kwa kivuli cha chama cha siasa.

Hiki kikundi kinaimiliki ardhi yote ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na vyote vilivyomo.

Hiki kikundi kinaimiliki dola na vyombo vyake vyote. Kina hatimiliki ya uhuru, haki na usalama wa raia wote

Ole wako kama wewe si mwana kikundi, au ukijitoa kwenye kikundi hiki, moja kwa moja wewe ni adui wa taifa.

Huwatakii mema hao mawakili wasomi kwani hicho kikundi pia kinamiliki hata haki yako ya kuishi duniani.

Dawa ya kupambana na genge hilo ni sisi Watanzania kwa ujumla wetu na si moja moja au vikundi vidogo vidogo.

Tutafikia ujasiri huo siku tutakapozinduka usingizini na kuondokana na vitu vitatu; ujinga, unafiki na uoga!
 
Lazima wewe utakuwa ni miongoni mwa wajinga ambao wametufikisha hapa tulipo kama Watanzania.

Tatizo tunaliona na tunalijua vizuri sana ila kwa kuwa sote ni sehemu ya tatizo tunatafuta wa kumtupia lawama.

Nchi hii tumejaaliwa mengi sana lakini kuna usemi wa wahenga, a fool and his money are soon parted!

Kwa sababu ya ujinga wetu tumeruhusu udikteta wa kikundi cha watu kwa kivuli cha chama cha siasa.

Hiki kikundi kinaimiliki ardhi yote ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na vyote vilivyomo.

Hiki kikundi kinaimiliki dola na vyombo vyake vyote. Kina hatimiliki ya uhuru, haki na usalama wa raia wote

Ole wako kama wewe si mwana kikundi, au ukijitoa kwenye kikundi hiki, moja kwa moja wewe ni adui wa taifa.

Huwatakii mema hao mawakili wasomi kwani hicho kikundi pia kinamiliki hata haki yako ya kuishi duniani.

Dawa ya kupambana na genge hilo ni sisi Watanzania kwa ujumla wetu na si moja moja au vikundi vidogo vidogo.

Tutafikia ujasiri huo siku tutakapozinduka usingizini na kuondokana na vitu vitatu; ujinga, unafiki na uoga!
Huenda uko sahihi kuwa mimi ni mjinga lkn kwa kuwa ujinga wangu unalenga kuwapunguzia watanzania mzigo wa rundo la kodi, tozo na Miamala basi huenda niko kundi la wajinga bora.

Sasa wewe mwelevu ungana na wajinga wengi kupinga, kushauri, na kubuni njia za kuondokana na vitu vingi vya hovyo hovyo.
 
Tozo imekuwa topic kwa mda mrefu imewafanya watanzania wasahau kama kuna utalii madini gesi Na bandari
Something is not right
Somebody is playing games
Inaonekana jamaa analipwa vizur tu kwa kuleta taarifa isyo Na faida kwa nchi in the name of tozo
 
Mkuu, wasomi wa nchi hii hawajielewi, na ni vigeugeu kama kinyonga. Siku zote huchukuliwa na mwendo wa upepo mithili ya puto.

Hawajui kupaza sauti na kujenga hoja kinzani pindi wazulumiwapo, hawapingi kwa uwazi zaidi ya kulalama chini kwa chini, ni wanafiki na wanaojipendekeza kwa Mamlaka hata kama wanaumizwa, kwa kifupi ni wavivu wa kufikiri na wasio jitambua kabisa.
Ndiyo maana mimi nashangaa kusikia wanao jihita wasomi kutaka mishahara mikubwa wakati hata kuwalipa laki 2 kwa mwezi ni kuwapendelea sana ...
 
Tuliwaambia msimfananisha JPM na vitu vya kipumbavu vya msoga mkabisha
 
Yupo Profesa Moshi aliesema kuwa waziri asiangalie kodi rahisi rahisi aangalie vyanzo vingine zaidi na kutanua wigo...
 
Back
Top Bottom