kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kila mwaka ripoti ya CAG anaonyesha wizi na ubadhilifu mkubwa wa fedha za wananchi unaoipunguzia serikali uwezo wake wa kuwahudumia wananchi wake kwenye elimu, afya, usafiri, nk kama anavyosema waziri wa fedha, Dr. Mwigulu.
Badala ya kudhibiti wizi na ubadhilifu kwenye vyanzo vya mapato Mwigulu anaona njia ya kufidia wizi huo ni kuongeza kodi na tozo kwa wananchi:
Badala ya kudhibiti wizi na ubadhilifu kwenye vyanzo vya mapato Mwigulu anaona njia ya kufidia wizi huo ni kuongeza kodi na tozo kwa wananchi: