Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Wakuu habari za jioni kwa mashabiki wa biashara United timu Bado haijatoka hadi mda huu kwenda Djibouti.
Niende kwenye mada kuu naomba kuuliza wakuu mnisaidie juu hili tuliambiwa kodi hii itakuwa inakatwa kila mwezi lakn maajabu Leo nimenunua umeme naona inakatwa tena hii kodi
Au n Mimi sikuelewa tangazo lao au wameamua kujichukulia sheria zao binafsi
Wakumbuke wengne umeme tunanunua wa 1000 kulingana na vipato vyetu sasa naona wanatulazimisha kinyume na makubaliano tuliyo kubaliana hapo awali
Kwa wanasheria siwezi kuwashtaki hawa Tanesco na wizara ya ardhi naona kama wamevunja makubaliano
Cc TANESCO @Petro E. Mselewa @Pascal Mayalla
Sent from my TECNO F1 using [URL='http://r.tapatalk.com/byo?rid=77694']JamiiForums mobile app[/URL]
Niende kwenye mada kuu naomba kuuliza wakuu mnisaidie juu hili tuliambiwa kodi hii itakuwa inakatwa kila mwezi lakn maajabu Leo nimenunua umeme naona inakatwa tena hii kodi
Au n Mimi sikuelewa tangazo lao au wameamua kujichukulia sheria zao binafsi
Wakumbuke wengne umeme tunanunua wa 1000 kulingana na vipato vyetu sasa naona wanatulazimisha kinyume na makubaliano tuliyo kubaliana hapo awali
Kwa wanasheria siwezi kuwashtaki hawa Tanesco na wizara ya ardhi naona kama wamevunja makubaliano
Cc TANESCO @Petro E. Mselewa @Pascal Mayalla
Sent from my TECNO F1 using [URL='http://r.tapatalk.com/byo?rid=77694']JamiiForums mobile app[/URL]