Ongezeko la tozo za Serikali kwenye miamala ya fedha zimekuwa gumzo kila kona na kuanza kuondoa matumaini kwa Watanzania wa kipato cha chini ambao wamekuwa wakiitumia mitandao ya simu kama vibubu vya kutunza fedha kidogo kidogo na kutuma na kutumiwa fedha hata kwa watoto walioko mashuleni.
Ukipita kila kona kwa kiwango kikubwa watu hawana hamu ya kuendelea kutumia miamala ya fedha kwenye mitandao ya simu, hata wapambe wa Mama wako kimya wasijue la kufanya wanaogopa kuhojiwa maana furaha yao imegeuka kuwa huzuni,Ni ukweli usiopingika tunakoelekea tutazungumza lugha moja.View attachment 1855538View attachment 1855539
Ukipita kila kona kwa kiwango kikubwa watu hawana hamu ya kuendelea kutumia miamala ya fedha kwenye mitandao ya simu, hata wapambe wa Mama wako kimya wasijue la kufanya wanaogopa kuhojiwa maana furaha yao imegeuka kuwa huzuni,Ni ukweli usiopingika tunakoelekea tutazungumza lugha moja.View attachment 1855538View attachment 1855539