Tozo za Miamala: Tunaelekea kuzungumza lugha moja

Tozo za Miamala: Tunaelekea kuzungumza lugha moja

Kwani hii Rugha moja na Mataga wa CCM wamo au inawahusu Chadema tu?
 
Kwa Moyo wa dhati kabisa niwapongeze wanywa Bia na Wavuta Sigara popote pale walipo..
Wamelipa Kodi miaka yote kwa Uzalendo mkubwa bila malalamiko na Nchi ikafikia Uchumi wa Kati.
Serikali ikaona iwapunguzie kidogo kwenye local beers Kama Bakshishi,na ikatengeneza Kodi ya Kizalendo....
Wanywa Chai, Soda Na Juice Sasa, Nchi Haikaliki... Malalamiko kibao..

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kutesa kwa zamu
 
Mama endelea kuupiga mwingi... Uzalendo siyo kusoma historia ya nchi na contemporary issues bali ni kulipa kodi ya uzalendo kwa hiari. Ila mi naona hili la kodi za uzalendo na nalo linaingia kwenye historia kama sehemu ya contemporary issues.
 
Kwa Moyo wa dhati kabisa niwapongeze wanywa Bia na Wavuta Sigara popote pale walipo..
Wamelipa Kodi miaka yote kwa Uzalendo mkubwa bila malalamiko na Nchi ikafikia Uchumi wa Kati.
Serikali ikaona iwapunguzie kidogo kwenye local beers Kama Bakshishi,na ikatengeneza Kodi ya Kizalendo....
Wanywa Chai, Soda Na Juice Sasa, Nchi Haikaliki... Malalamiko kibao..

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na kazi iendeleee
 
Hivi kesho namba moja akirudi akasema tunabidi hii ni kodi wanatafuta ela ya chanjo ya Covid nina uhakika kuna watu waliokengeuka leo watakuja kuitetea hii hii kodi🤣🤣
Mkuu mawazo yako so poaaah🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwa hili la tozo za miamala limemshushia mama credit huku mtaani hadi sio poa. Kila mtu anaanza kumzungumzia vizuri hayati. Kama ni karata, basi wamelamba karata dume. Maana naamini kabisa haya yalipangwa ili zile sifa mbaya za hayati zipotezwe maana ilikua ni mbaya kila kona watu walirusha mawe juu yake japo hata kimvuli chake hakipo
 
Back
Top Bottom