Kutesa kwa zamuKwa Moyo wa dhati kabisa niwapongeze wanywa Bia na Wavuta Sigara popote pale walipo..
Wamelipa Kodi miaka yote kwa Uzalendo mkubwa bila malalamiko na Nchi ikafikia Uchumi wa Kati.
Serikali ikaona iwapunguzie kidogo kwenye local beers Kama Bakshishi,na ikatengeneza Kodi ya Kizalendo....
Wanywa Chai, Soda Na Juice Sasa, Nchi Haikaliki... Malalamiko kibao..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]Mama bado anaupiga mwingi?
Na kazi iendeleeeKwa Moyo wa dhati kabisa niwapongeze wanywa Bia na Wavuta Sigara popote pale walipo..
Wamelipa Kodi miaka yote kwa Uzalendo mkubwa bila malalamiko na Nchi ikafikia Uchumi wa Kati.
Serikali ikaona iwapunguzie kidogo kwenye local beers Kama Bakshishi,na ikatengeneza Kodi ya Kizalendo....
Wanywa Chai, Soda Na Juice Sasa, Nchi Haikaliki... Malalamiko kibao..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu mawazo yako so poaaah🤣🤣🤣🤣🤣Hivi kesho namba moja akirudi akasema tunabidi hii ni kodi wanatafuta ela ya chanjo ya Covid nina uhakika kuna watu waliokengeuka leo watakuja kuitetea hii hii kodi🤣🤣
Wote hapo hakuna ubaguziKwani hii Rugha moja na Mataga wa CCM wamo au inawahusu Chadema tu?