RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,788
- 4,401
Ni kilio cha kusaga meno kila kona ya nchi tozo imekuwa mwiba mkubwa kwa wananchi kila kona wanalia hata hivyo baadhi ya wafanyakazi wa umma hasa manesi na walimu wanalalamika sana kuona wanalipa kodi huku tena kuendelea kukatwa fedha zao zaidi ya maratatu kupitia tozo ambazo imeweka serikali kupitia mishahara yao.
Kwa sasa serikali haina ubunifu wa vyanzo vya mapato inapambana na wanachi ikumbukwe kuwa siyo tozo tu hizi ambazo kwa sasa imeamuwa kuziweka bali angalieni nyie wenyewe mfumuko wa bei za bidhaa siyo mafta siyo nondo siyo bati siyo vyakula kila kitu kimepanda bei na fedha hamna! serikali ya awamu ya sita utetezi wake kwa kika kitu ni vita ya Urus & Ukraine kama siyo vita ni ugonjwa wa uviko19 naona mama anachokitafta atakipata soon ataona rangi halisi za wananchi.
Kwa sasa hakuna unafuu wa maisha na waliiwengi humu ambao ni walamba asali wanakuja na majibu ya fanya kazi acha kulalamika nani hafanyi kazi kama hufanyi kazi unaweza kuja kuweka hoja humu, ndugu zangu situkeni mambo yamekuwa magumu ni wakati wakuamua juu ya nchi yetu! hii nchi siyo mali ya kikundi cha watu ni mali ya watanzania wote. atakumbukwa kwa ujumbe mzuri kabisa msaani huyu[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Kwa sasa serikali haina ubunifu wa vyanzo vya mapato inapambana na wanachi ikumbukwe kuwa siyo tozo tu hizi ambazo kwa sasa imeamuwa kuziweka bali angalieni nyie wenyewe mfumuko wa bei za bidhaa siyo mafta siyo nondo siyo bati siyo vyakula kila kitu kimepanda bei na fedha hamna! serikali ya awamu ya sita utetezi wake kwa kika kitu ni vita ya Urus & Ukraine kama siyo vita ni ugonjwa wa uviko19 naona mama anachokitafta atakipata soon ataona rangi halisi za wananchi.
Kwa sasa hakuna unafuu wa maisha na waliiwengi humu ambao ni walamba asali wanakuja na majibu ya fanya kazi acha kulalamika nani hafanyi kazi kama hufanyi kazi unaweza kuja kuweka hoja humu, ndugu zangu situkeni mambo yamekuwa magumu ni wakati wakuamua juu ya nchi yetu! hii nchi siyo mali ya kikundi cha watu ni mali ya watanzania wote. atakumbukwa kwa ujumbe mzuri kabisa msaani huyu[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]