TP Mazembe: Tunawashukuru sana Mashabiki a Mpira Tz Bila wao Tusingeshinda

TP Mazembe: Tunawashukuru sana Mashabiki a Mpira Tz Bila wao Tusingeshinda

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Mashabiki ya TP Mazembe wakiongozwa na Papa Ndiku wa Ndikumana Nyboma wameshukuru sana kwa ushirikiano walioupata hapa nchini. Wanasema kwa kweli walijisikia kama wapo kwao Congo. Walipata kila walichotaka na kuwa wamecheza wakiwa wame tulia kabisa kama vile wapo kwao.

Wanasema wataendelea kuwasilianana marafiki zao wa Tanzania hata wakirud DRC Congo. Wamesisitiza mpira si uadui hivyo ukarimu waliouopata Tanzania ndiyo uliowawezesha kurudi kwao wakiwa na IUshindi ambao hawakuutegemea hasa kutokana na habari ambazo wamekuwa wakisoma kwenye magazeti kuhusu ubora wa Yanga. Msemaji huyo bwana Ndiku Nyboma Ngesema amesema kuwa wataendelea kuwasiliana na Watanzania hawa wakarimu
 
Wakimataifa jamani mbona kila mara mnatupa preshaaa? Mmecheza kandanda safiii lkn daah mil 600 hivi hivi bahati si yenu! Anyway dk 90 zimeamua!
 
Jerry anawaponza, anachonga sana, sijui nani alimwambia kuwa msemaji ni kuropoka hovyo namna ile. Anakuwa kama hana taaluma. Anatengeneza uadui na Simba matokeo yake Mazembe wamekuwa kama wako kwao. Maana Simba wameshangilia muda wote as if mnyama ndo anacheza.
 
Mnyamaaaaa !!!!Duuh !!! Kwa hiyo JAMAA kapigwa !? Huruma sana
 
Jamanii
 

Attachments

  • 1467136000072.jpg
    1467136000072.jpg
    29 KB · Views: 61
Teepeee Mazembe Teeepee Mazembeee au Nationale Stad Dar es Salaam, Tanzanie

75 '' mins TP Mazembe Goal , yaaani Walllahi Tanzanie Tanzanie Simba Fans Celebration!

Young Africans vs TP Mazembe 0-1 but complet et Résumé 2016 Yanga

Source: Malin Fotbal PM
 
Jerry anawaponza, anachonga sana, sijui nani alimwambia kuwa msemaji ni kuropoka hovyo namna ile. Anakuwa kama hana taaluma. Anatengeneza uadui na Simba matokeo yake Mazembe wamekuwa kama wako kwao. Maana Simba wameshangilia muda wote as if mnyama ndo anacheza.
Jeri namfananisha na Yona wa kwenye biblia.

Mechi zilizobaki wajaribu kumuacha Jeri atulie nyumbani na familia yake (asiende uwanjani kabisa) maana nahisi ana mkosi na yanga kutokana na uropokaji wake.
 
Ngoja niweke vitu jamaa wa upande wa pili wamenipa
IMG-20160628-WA0014.jpg
 
Back
Top Bottom