Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,575
- 25,619
ni robo fainali na leo pia michuano inaendelea. ZBC² wanaonyeshaKwanza sio fainali pili mechi imechezwa jana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni robo fainali na leo pia michuano inaendelea. ZBC² wanaonyeshaKwanza sio fainali pili mechi imechezwa jana
Hivi hawa wa Zaire na vurugu zao wanaweza mpira. Sisi na amani yetu hata utamaduni wa shule ya msingi hatuwezi !!. Hivi tulimkosea Mungu nini ?! . TP Mazembe hata bosi wao alisumbuliwa na Rais Kabila lakini bado wako ngangari !!. Sisi tumelaaniwa na nani ?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchawi ni yule yule mmliki wa viwanja vingi vya mpira hapa nchini ambvyo vipo kaama mashamba ya mpungaHivi hawa wa Zaire na vurugu zao wanaweza mpira. Sisi na amani yetu hata utamaduni wa shule ya msingi hatuwezi !!. Hivi tulimkosea Mungu nini ?! . TP Mazembe hata bosi wao alisumbuliwa na Rais Kabila lakini bado wako ngangari !!. Sisi tumelaaniwa na nani ?!
Sent using Jamii Forums mobile app