bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Watoto wa Mosee Katumbi leo wametwazwa kuwa mabingwa wa kombe la Shirikisho badala ya kwenda Sare na Supersport ya Afrika kusini awali Mazembe walishinda 2-1 pale jiji la Lubumbashi.
Timu zetu zipate somo kutoka kwa Tp Mazembe.hongereni akina Mputu,Adjei,Kidiaba,nk
Timu zetu zipate somo kutoka kwa Tp Mazembe.hongereni akina Mputu,Adjei,Kidiaba,nk