TP Mazembe wameingia kwenye mfumo, kesho mnaobet wekeni mzigo wa kutosha

TP Mazembe wameingia kwenye mfumo, kesho mnaobet wekeni mzigo wa kutosha

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Mitego ya Utopolo ilikuwa mingi Sanaa, mingine wameikwepa kwa kusaidiwa na wakongo wenzao waliopo hapa nchini, mitego mingine wamesaidiwa na waliokuwa wachezaji wao wa zamani ambao ni raia wa Congo.

Lakini Mazembe wameingia kwenye mfumo wa Gusa Achia Twende Kwao.

Miiba wameikanyaga tayar, miiba mingine imeenda kushindiliwa kwa watoto yatima kupewa msaada.

Siipendi Yanga lkn kwa kesho na kwa namna nilivyoona miiba ikishindiliwa, aaaah Mazembe mnapoteana mapema tu na Gusa Achia Twende Kwao.
 
Mitego ya Utopolo ilikuwa mingi Sanaa, mingine wameikwepa kwa kusaidiwa na wakongo wenzao waliopo hapa nchini, mitego mingine wamesaidiwa na waliokuwa wachezaji wao wa zamani ambao ni raia wa Congo.

Lakini Mazembe wameingia kwenye mfumo wa Gusa Achia Twende Kwao.

Miiba wameikanyaga tayar, miiba mingine imeenda kushindiliwa kwa watoto yatima kupewa msaada.

Siipendi Yanga lkn kwa kesho na kwa namna nilivyoona miiba ikishindiliwa, aaaah Mazembe mnapoteana mapema tu na Gusa Achia Twende Kwao.
Tuna gusa achia na kwenda kwenu
 
Mitego ya Utopolo ilikuwa mingi Sanaa, mingine wameikwepa kwa kusaidiwa na wakongo wenzao waliopo hapa nchini, mitego mingine wamesaidiwa na waliokuwa wachezaji wao wa zamani ambao ni raia wa Congo.

Lakini Mazembe wameingia kwenye mfumo wa Gusa Achia Twende Kwao.

Miiba wameikanyaga tayar, miiba mingine imeenda kushindiliwa kwa watoto yatima kupewa msaada.

Siipendi Yanga lkn kwa kesho na kwa namna nilivyoona miiba ikishindiliwa, aaaah Mazembe mnapoteana mapema tu na Gusa Achia Twende Kwao.
Una maanisha wanashindana na nguvu na mamlaka ya kipepo?
Kwa hiyo kesho ni mashindano ya uchawi sio?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Yanga atashinda kesho. Tatizo naona ibenge na yeye atafungwa kesho.

Hali ya yanga itazidi kuwa mbaya
 
Back
Top Bottom