Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Nikiwa naangali TV, kule kwenye mkutano wa mashirika ya umma. Mara ninaona wakati wa kupewa tuzo TPA wamepewa tuzo kama shirika lilinaloiingiza mpunga mrefu Tanzania baada tu ya TCRA.
Kumbe TPA wanafanya vizuri kabisa, Waziri wa ujenzi kumbe alitudanganya. Again no tu uwekezaji TPA.
TPA wapo vizuri, ni wanaweza kabisa kuendelea kuongeza ufanisi wenyewe bila kutegemea mwekezaji.
Kumbe TPA wanafanya vizuri kabisa, Waziri wa ujenzi kumbe alitudanganya. Again no tu uwekezaji TPA.
TPA wapo vizuri, ni wanaweza kabisa kuendelea kuongeza ufanisi wenyewe bila kutegemea mwekezaji.