Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
SSH analishwa matango pori š¤£, awe makini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr. Slaa anakutesa sana kisaikolojia.TEC nayo iandae zawadi kwa akina Slaa.
Hafai yule DingiSlaa anakutesa sana kisaikolojia.
Nikiwa naangali TV,kule kwenye mkutano wa mashirika ya umma.Mara ninaona wakati wa kupewa Tizo TPA wamepewa tuzo kama shirika lilinaloiingiza mpunga mrefu Tanzania, baada tu ya TCRA.
Kumbe TPA wanafanya vizuri kabisa,waziri wa ujenzi kumbe alitudanganya.Again no tu uwekezaji TPA.
TPA wapo vizuri ,ni wanaweza kabisa kuendelea kuongeza ufanisi wenyewe bila kutegemea mwekezaji
AahaaaaHuyo aliyeandaa hizo tuzo kwangu ni mtu muhimu kama yule aliyevujisha ule mkataba wa hovyo wa bandari, anastahili pongezi.
Kwahiyo suala la ufanisi mbovu siyo hoja tena ?Nikiwa naangali TV,kule kwenye mkutano wa mashirika ya umma.Mara ninaona wakati wa kupewa Tizo TPA wamepewa tuzo kama shirika lilinaloiingiza mpunga mrefu Tanzania, baada tu ya TCRA.
Kumbe TPA wanafanya vizuri kabisa,waziri wa ujenzi kumbe alitudanganya.Again no tu uwekezaji TPA.
TPA wapo vizuri ,ni wanaweza kabisa kuendelea kuongeza ufanisi wenyewe bila kutegemea mwekezaji
Hapana, siyo kwa kuwa ni shirika bora. Usiseme uongo.Nikiwa naangali TV,kule kwenye mkutano wa mashirika ya umma.Mara ninaona wakati wa kupewa Tizo TPA wamepewa tuzo kama shirika lilinaloiingiza mpunga mrefu Tanzania, baada tu ya TCRA.
Kumbe TPA wanafanya vizuri kabisa,waziri wa ujenzi kumbe alitudanganya.Again no tu uwekezaji TPA.
TPA wapo vizuri ,ni wanaweza kabisa kuendelea kuongeza ufanisi wenyewe bila kutegemea mwekezaji
Ndo tujue kuna wenzetu wameamua kutupiga mnada makusudi. Ndugai hakukosea kipindi kile.Nikiwa naangali TV,kule kwenye mkutano wa mashirika ya umma.Mara ninaona wakati wa kupewa Tizo TPA wamepewa tuzo kama shirika lilinaloiingiza mpunga mrefu Tanzania, baada tu ya TCRA.
Kumbe TPA wanafanya vizuri kabisa,waziri wa ujenzi kumbe alitudanganya.Again no tu uwekezaji TPA.
TPA wapo vizuri ,ni wanaweza kabisa kuendelea kuongeza ufanisi wenyewe bila kutegemea mwekezaji
Shehe Mwaipopo hajapata tuzo ya Umbumbu?Nimeshangazwa zaidi ati hata NIDA wamejizolea zawadi
Au kuna NIDA mbili hapa Nchini yaani bila jiwe mbili hujapata kitambulisho au nacho ni kiwanda cha mapato ya CCM?
Nimesikitika sana leo mpaka nimeizima luninga
Nida wanatoa vitambulisho ,ila hamuendi kuvichukua.Nimeshangazwa zaidi ati hata NIDA wamejizolea zawadi
Au kuna NIDA mbili hapa Nchini yaani bila jiwe mbili hujapata kitambulisho au nacho ni kiwanda cha mapato ya CCM?
Nimesikitika sana leo mpaka nimeizima luninga
Ukiwa muongo unatakiwa kuwa smart.Nikiwa naangali TV,kule kwenye mkutano wa mashirika ya umma.Mara ninaona wakati wa kupewa Tizo TPA wamepewa tuzo kama shirika lilinaloiingiza mpunga mrefu Tanzania, baada tu ya TCRA.
Kumbe TPA wanafanya vizuri kabisa,waziri wa ujenzi kumbe alitudanganya.Again no tu uwekezaji TPA.
TPA wapo vizuri ,ni wanaweza kabisa kuendelea kuongeza ufanisi wenyewe bila kutegemea mwekezaji
Kuwa wa kwanza haimaanishi kuna ufanisi. Kwa taarifa yako NIDA kashika no 3! Hali ya NIDA ikoje?Nikiwa naangali TV,kule kwenye mkutano wa mashirika ya umma.Mara ninaona wakati wa kupewa Tizo TPA wamepewa tuzo kama shirika lilinaloiingiza mpunga mrefu Tanzania, baada tu ya TCRA.
Kumbe TPA wanafanya vizuri kabisa,waziri wa ujenzi kumbe alitudanganya.Again no tu uwekezaji TPA.
TPA wapo vizuri ,ni wanaweza kabisa kuendelea kuongeza ufanisi wenyewe bila kutegemea mwekezaji
aliyepiga hii picha pepo ataisikia tuNgoja tule tushibe kwanza.
View attachment 2721569