Hii nchi ina vitu ukiwaza unaweza umwa kichwa.Nikiwa naangali TV,kule kwenye mkutano wa mashirika ya umma.Mara ninaona wakati wa kupewa Tizo TPA wamepewa tuzo kama shirika lilinaloiingiza mpunga mrefu Tanzania, baada tu ya TCRA.
Kumbe TPA wanafanya vizuri kabisa,waziri wa ujenzi kumbe alitudanganya.Again no tu uwekezaji TPA.
TPA wapo vizuri ,ni wanaweza kabisa kuendelea kuongeza ufanisi wenyewe bila kutegemea mwekezaji
Bandari Kavu ya TPA ikianza kazi rasmi kule Kwala Vigwaza itaangiza fedha nyingi kuliko Taasisi yoyote nchiniNikiwa naangali TV,kule kwenye mkutano wa mashirika ya umma.Mara ninaona wakati wa kupewa Tizo TPA wamepewa tuzo kama shirika lilinaloiingiza mpunga mrefu Tanzania, baada tu ya TCRA.
Kumbe TPA wanafanya vizuri kabisa,waziri wa ujenzi kumbe alitudanganya.Again no tu uwekezaji TPA.
TPA wapo vizuri ,ni wanaweza kabisa kuendelea kuongeza ufanisi wenyewe bila kutegemea mwekezaji
Ngoja tule tushibe kwanza.Nikiwa naangali TV,kule kwenye mkutano wa mashirika ya umma.Mara ninaona wakati wa kupewa Tizo TPA wamepewa tuzo kama shirika lilinaloiingiza mpunga mrefu Tanzania, baada tu ya TCRA.
Kumbe TPA wanafanya vizuri kabisa,waziri wa ujenzi kumbe alitudanganya.Again no tu uwekezaji TPA.
TPA wapo vizuri ,ni wanaweza kabisa kuendelea kuongeza ufanisi wenyewe bila kutegemea mwekezaji
Wafanyakazi wa bandari msiwe na wasiwasi na nafasi zenu zitalindwa serikali inachotaka ni kuboresha utendaji kazi.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Watu walishavuta advance za DP World mkuuNikiwa naangali TV,kule kwenye mkutano wa mashirika ya umma.Mara ninaona wakati wa kupewa Tizo TPA wamepewa tuzo kama shirika lilinaloiingiza mpunga mrefu Tanzania, baada tu ya TCRA.
Kumbe TPA wanafanya vizuri kabisa,waziri wa ujenzi kumbe alitudanganya.Again no tu uwekezaji TPA.
TPA wapo vizuri ,ni wanaweza kabisa kuendelea kuongeza ufanisi wenyewe bila kutegemea mwekezaji