Hata Shule ya Mwisho kitaifa ina best studentUkute hiyo tuzo anayoiwapa no Rais anayeitangaza TPA haina utendaji mzuri[emoji28].. CCM Kuna funza za vichwa wallah!!
Kuna Mwamba kuliko JPM na kashindwa ?DP waje, ila mkataba urekebishwe kwanza.
Maana kama huu mkataba uliopo una manufaa kama tunavyo hubiriwa basi, na wenzetu wa Zanzibar bandari zao zijumuishwe ili tunufaike sote.
Ningekuwa rais, ningeajiri experts wa kuongoza bandari nawapa targets kuanzia utendaji hadi makusanyo ya fedha. Wakishindwa kufikia target nawatimuwa.
Yaani kama vile unaajiri kocha wa club au taifa star.
Mbona vitambulisho vya mpiga kura huwa papo kwa hapoNida wanatoa vitambulisho ,ila hamuendi kuvichukua.
Tungoje tuzo kutoka BAKWATAShehe Mwaipopo hajapata tuzo ya Umbumbu?
Mbona Kenya huwa ni fasta tu na Indangamuntu ya Rwanda.Vile havina taarifa nyingi.Cha uraia ni hadi wahakikishe wewe ni MTZ kweli.
Haha hiyo ni nusu tu ya maptanoNikiwa naangali TV,kule kwenye mkutano wa mashirika ya umma.Mara ninaona wakati wa kupewa Tizo TPA wamepewa tuzo kama shirika lilinaloiingiza mpunga mrefu Tanzania, baada tu ya TCRA.
Kumbe TPA wanafanya vizuri kabisa,waziri wa ujenzi kumbe alitudanganya.Again no tu uwekezaji TPA.
TPA wapo vizuri ,ni wanaweza kabisa kuendelea kuongeza ufanisi wenyewe bila kutegemea mwekezaji
Tatizo zitaingia mifukoni mwa watuBandari Kavu ya TPA ikianza kazi rasmi kule Kwala Vigwaza itaangiza fedha nyingi kuliko Taasisi yoyote nchini
RIP Shujaa Magufuli
TPA wapo vizuri ,ni wanaweza kabisa kuendelea kuongeza ufanisi wenyewe bila kutegemea mwekezaji[emoji23]Nikiwa naangali TV,kule kwenye mkutano wa mashirika ya umma.Mara ninaona wakati wa kupewa Tizo TPA wamepewa tuzo kama shirika lilinaloiingiza mpunga mrefu Tanzania, baada tu ya TCRA.
Kumbe TPA wanafanya vizuri kabisa,waziri wa ujenzi kumbe alitudanganya.Again no tu uwekezaji TPA.
TPA wapo vizuri ,ni wanaweza kabisa kuendelea kuongeza ufanisi wenyewe bila kutegemea mwekezaji
Kama na yeye anapanua mdomo ili matongo poro yaingie kosa la naniSSH analishwa matango pori [emoji1787], awe makini.
Kuna Mwamba kuliko JPM na kashindwa ?
imagine JPM na kutisha kwake kote na ziara zake za kustukiza kuna kijana alichezea clip ya Mizigo kuwa eti anaona live hadi Mzee akastuka na kufungua pazia za ofisi na kumwambia Nioneshe gari ikivuka pale kwny Mtambo na huku naangalia Screen.
pale Bandarini kuna mengi sana sana
Fuko la Kampeni, Kitalu cha Wamiliki wa ICD, uchochoro wa wakwepa kodi n.k
Mie mwenyewe pamoja na sababu zote za Kitaifa na za kizalendo najua Mradi wa Treni ya kisasa ukikamilika na kufanya kazi kwa ufanisi kwny upande wa Mizigo kuna Wateja wangu watarudi kwny Mawe nami ntajikuta napepesuka
Jambo lolote tunaweza tukapinga au kuunga mkono kwa pamoja lakini tukawa na mission tofauti
Kuna Wastaafu wanaomiliki ICD tangu Jana baada ya tangazo la TEC nafsi zao zimesuuzika sana
Kuna Tajiri Papa mkubwa sana nae anaunga Mkono uwekezaji kwa kuwa kajihakikishia kuwa atakuwa ndio Supplier wao Mkubwa
Sasa wamepewa tuzo kwa ajili ya kupeleka bil20 au 200 wakati wakipewa dpw hao hao tpa watatoa mara nyingi zaidi ya hiyo hata shule mbovu pia ina best student kwa hiyo wamepongezwa na kweli wanastahili ila sio kwa spidi hii we need big investment hence big outcome wacha dp awekeze mara dufu ili tuvune maradufu ya hiki. Sema cha msingi na kikubwa leo mh president ametoa speech yenye muelekeo mkubwa na mageuzi makubwa hasa ktk uchumi wetu haya mengine yalikuwa kama kachumbari kwenye msosi tu.TPA wapo vizuri ,ni wanaweza kabisa kuendelea kuongeza ufanisi wenyewe bila kutegemea mwekezaji
Waziri aje atoe ufafanuzi
Nani kakudanganya?DP bandari inakuwa yao na Mapato yatakuwa ya DP.Sasa wamepewa tuzo kwa ajili ya kupeleka bil20 au 200 wakati wakipewa dpw hao hao tpa watatoa mara nyingi zaidi ya hiyo hata shule mbovu pia ina best student kwa hiyo wamepongezwa na kweli wanastahili ila sio kwa spidi hii we need big investment hence big outcome wacha dp awekeze mara dufu ili tuvune maradufu ya hiki. Sema cha msingi na kikubwa leo mh president ametoa speech yenye muelekeo mkubwa na mageuzi makubwa hasa ktk uchumi wetu haya mengine yalikuwa kama kachumbari kwenye msosi tu.
Akili yko ndogo sana hao TPA wanaufanisi ukilinganisha na bandari shindani?Nikiwa naangali TV,kule kwenye mkutano wa mashirika ya umma.Mara ninaona wakati wa kupewa Tizo TPA wamepewa tuzo kama shirika lilinaloiingiza mpunga mrefu Tanzania, baada tu ya TCRA.
Kumbe TPA wanafanya vizuri kabisa,waziri wa ujenzi kumbe alitudanganya.Again no tu uwekezaji TPA.
TPA wapo vizuri ,ni wanaweza kabisa kuendelea kuongeza ufanisi wenyewe bila kutegemea mwekezaji
Suala la bandari ni uelewa mdogo wa watanzania: Professor Mussa Assad former Controller and Auditor GeneralIshu inayo ongelewa ni ubovu wa mkataba siyo DP yenyewe, ewe dalali mangungo