Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka nchi iwe na uwanja mmoja tu akili za nzige hizi
Wewe unajua mamlaka ya bandari ina deal na bandari ya Dar tu .vp kigoma,mwanza, bukoba, na nyasa kasome shule tena uache umbumbum usikuSasa kuna ulazima gani Operation za Bandari iliyo Dar Ofisi zipelekwe Dodoma ni akili ?
Huku ulipotaja at least kuna shughuli za majini hivyo ofisi ni muhimu.. hapo Dodoma wanaenda kuhudumia bwawa la Mtera??Wewe unajua mamlaka ya bandari ina deal na bandari ya Dar tu .vp kigoma,mwanza, bukoba, na nyasa kasome shule tena uache umbumbum usiku
USSR
Wewe bwana naona watachimba canal mpaka dodoma kichwa cha habari "wagogo waula"Huku ulipotaja at least kuna shughuli za majini hivyo ofisi ni muhimu.. hapo Dodoma wanaenda kuhudumia bwawa la Mtera??
Huku ulipotaja at least kuna shughuli za majini hivyo ofisi ni muhimu.. hapo Dodoma wanaenda kuhudumia bwawa la Mtera??
Hujui kuhusu TPA hata zero kaangalie bandari mpaka wa mwanza ,kagera, wote ni waoSasa kuna ulazima gani Operation za Bandari iliyo Dar Ofisi zipelekwe Dodoma ni akili ?
Soma Tangazo Tambua katika kila bandari zote ,dar ,Tanga, mtwara, mwanza, kigoma, Nyasa, bukoba Kuna ofisi zao sasa hapo dar itabaki kama regional office makao makuu yatabaki kuwa Dodoma na zile operation za dar zitakuwa vile vile kama kawaida huko HQ Dodoma patakuwa na ishu za watu wa juu tu katika mamlakaHuku ulipotaja at least kuna shughuli za majini hivyo ofisi ni muhimu.. hapo Dodoma wanaenda kuhudumia bwawa la Mtera??
Dodoma ni katikati ya nchi hivyo inakuwa rahisi kwa shughuli zote za maritime kuratibiwa kwa ukaribu na urahisi zaidi kulinganisha na ilivyokuwa hapo awali (Dar Es Salaam)Huku ulipotaja at least kuna shughuli za majini hivyo ofisi ni muhimu.. hapo Dodoma wanaenda kuhudumia bwawa la Mtera??
nchi hii ya kishenzienge, unawezaje kuweka ofisi za kahawa Mtwara? au ofisi za Korosho kagera?
Operation Vs MagenamentSasa kuna ulazima gani Operation za Bandari iliyo Dar Ofisi zipelekwe Dodoma ni akili ?
Operation Vs Magenament
....... Management inaweza kuwa ulaya, Operations zinafanyika Buzwagi!!!
Wewe unajua mamlaka ya bandari ina deal na bandari ya Dar tu .vp kigoma,mwanza, bukoba, na nyasa kasome shule tena uache umbumbum usiku
USSR
Nimeamini sas kuwa viongozi wa nnchi hi hawana vision kbsa kbsa